Mpira wa kona
JF-Expert Member
- Nov 25, 2016
- 350
- 338
Kati ya Lowassa Na Huyo mamluki Lipumba nani alimkimbia mwezake?
Salum Mwalimu hajapotea.Aliyepotea ni Beni wa Saanane.Kwa jinsi hali inavyokwenda, CCM hawana mpango wa kupambana na upinzani kabisa.Mpinzani wao n Lowasa,wengine wote kimya kimya kabisa.
Lowassa tu ndio anayezunguka nchi nzima,wao wanatalii Ulaya! Hawana vya kusema.Ni kama CHADEMA haipo kabisa.NCCR Mageuzi nao hoi.Coverage zote kwenye mitandao ya kijamii na media zingine ni LOWASSA,LOWASSA,LOWASSA! Mara yupo Mbinga, mara Iringa, mara Songea,mara Igunga nk.
Salum Mwalimu nae kapotea,Lowassa anachanja mbuga peke yake.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha mbavu zng. Du nmecheka mpaka bas sio majibu hya.hizi ni dalili za kuishiwa, kwanini usingetumia muda huu kumuandalia Wasira hafla ndogo kurudishwa uwanjani
Aya ukiamka utwambieNguvu ya lowassa isidharauliwe nakumbuka huyu jamaa alivyoleta shida mwaka uliopita.
Kama kweli atasimama 2020 tusishangae ya Ghana yakatokea Tanzania sababu hata Nana Akufo ado aligombea zaidi ya Mara mbili na kushindwa lakini uchaguzi wa juzi wananchi wakamchagua.
Yaaahe umajaliwa chura mkubwa weyeeeWho cares na hili Jambazi Sugu!
Bado sijalala.Aya ukiamka utwambie
Kipindi cha kudai Uhuru wasira yupo,Nyerere akatawala mda wote wasira yupo akaja mwinyi wasira yupo,akaingia Mkapa mzee wasira yupo ,kipindi cha kikwete pia wasira yupo na sasa kwa Magu yupo tena wamemubananisha rafiki yake Makongoro Nyerere makao makuu ya CCM sasa wapo mpaka 2020 hakika wasira yupo mpaka siku Tramp akisaidia vyama vinginevyo kuingia ikulu.hizi ni dalili za kuishiwa, kwanini usingetumia muda huu kumuandalia Wasira hafla ndogo kurudishwa uwanjani
Lipumba na Abdalah kambaya ni washirikina sana pia wamepewa pesa nyingi na CCM kwa ajili ya kudhoofisha ukawa lazima lowasa awe makini na Lipumba.Lowasa anamuogopa sana prof Lipumba, ana haaaahaa hana usingizi
tatizo nyie ndugu zangu wa kusini wagumu kubadilika...Si ndo mwenye chama
mtu chake