Lowassa amjibu Nape

Kupigwa chini kwa lowasa kutatumika njia kama iliyotumika kwa samwel sitta kwenye uspika, so EL watamzodoa kwa hiyo. But ndo mwisho wa ccm ya JKN unaishia hapo.



hamna mwenye ubavu wa kumpiga chini lowasa......
 

Kama lowasa alishindwa kuweka wazi tukio la Richmond kwa kutetea Tawala dhalimu bado anajitapa kwa ujinga huo ni wazi haziko sawa kichwani
 

Mkuu HUNIJUI usilalamike hii hali ishakua kawaida sana, hawa mods watatufukuza wengi sana humu, mpaka mtu unajiuliza kuhusu ufahamu wao wa mambo!hata Mimi nilishawahi kuuliza ni kwanini wanaunganisha threads ambazo zina habari tofauti kabisa?Labda hua wanasoma headings tu.
 
Nyerere alivyosema kuwa Lowasa mjinga hajakosea kabisa sasa ndiyo naanza kuelewa,

kwani Lowasa hajui kuwa nape ni msemaji wa chama,

Kwani kasema mangapi ambayo hayatokani na kikao au vikao.

Kwa nini mnamsingizia Nyerere Uongo? Ni Lini Nyerere alisema Lowasa ni Mjinga ? Lini alisema hayo? Kumbuka kipindi kile wabaya wa Lowasa walipenyeza Fitna kwa Nyerere kwa lengo la kumwangusha lakini Nyerere alizungumzia Utajiri tu ingawa baadae alitambua kuwa yaliluwa majungu tu, Nyerere kafa pasipo na Kinyongo wala Tatizo na Lowasa, Huyo Nape kapewa Pesa na Membe ili amchafue Lowasa, Membe kwa sasa anayatumia yale Mabilioni ya marehemu Gadafi kuwanunua watu wa kuwachafua wote wenye nia ya kugombea Urais hususani Lowasa.
 
Wanagombania nini wajinga hawa ili hali CDM imekwishachukua nchi, watupishe tupange mipango ya maendeleo kwa taifa
 
Nape hafai kuwa msemaji wa chama, kwani tayari ana-side...

Kanunuliwa na Membe hapo alipo anamtumikia Membe wanakula pesa za marehemu Gadafi laana ya marehemu Balozi wa Libya itamkuta na Nape kwani anakula pesa za haramu zilizoporwa na Membe kisha akamuua balozi wa Libya ili kuficha ushahidi.
 
Lowasa amemshangaa Nape kwa kutoa matamko bila vikao vya chama! Amehoji kauli anazotoa zimetokana na kikao kipi cha Chama?

Lowasa amesema CCM anayoifahamu yeye mambo yote hujadiliwa na kuamuliwa na vikao vya chama!

Source: ITV habari kwa saa!

Kama Mungu angeumba dunia kwa vikao hakuna ambalo lingefanyika. Ndio maana wengine hatumhusudu huyu jamaa. Nadharia ya uongozi sijui alijifunza wapi.
 
Wanagombania nini wajinga hawa ili hali CDM imekwishachukua nchi, watupishe tupange mipango ya maendeleo kwa taifa

hahahahahahahaha ingepaswa u fikirikwanza ndugu. shughuli ya hapo baaadae kwenye uchaguzi si ya kitoto
 
Last edited by a moderator:
Movie utaisha siku Membe akimaliza pesa za Gadafi alizoficha, lakini endapo atakuwa Bado na hayo mapesa atawasumbua sana,
Basi tutaona, kusoma na kusikia mengi hi 2015.
 
Nape katumwa na Membe tu baada ya kuwa na kikao cha siri naye, kama Lowasa anataka kujua ni kikao gani walikaa basi atambue kuwa kikao pekee kilikuwa ni baina ya Membe na Nape tu ,
 
hahahahahahahaha ingepaswa u fikirikwanza ndugu. shughuli ya hapo baaadae kwenye uchaguzi si ya kitoto

Ni kweli lakn nani kafa mara mbili??? ukifa umekufa tu, CCM imekwisha kufa au wataweka pingamizi hata na mgombea urais???? kama serikali za mitaa na vitongoji?
 
Basi tutaona, kusoma na kusikia mengi hi 2015.

Tutarajie vioja Lukuki, na endapo Membe atapewa nafasi tutarajie kufikishwa the Hague na Wananchi wa Libya wakidai pesa zao na Uchunguzi juu ya kifo cha balozi wao, pia kumbuka Kuwa Membe ni mtu wa Visasi akipewa Nchi Lazima magereza yatafurika wafungwa wa kisiasa na hata kunyonywa kwa wingi, Msiombee Membe akachukua Nchi mtajuta kuzaliwa Tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…