Lowassa amjibu Nape

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
11,832
Reaction score
18,090
Lowasa amemshangaa Nape kwa kutoa matamko bila vikao vya chama! Amehoji kauli anazotoa zimetokana na kikao kipi cha Chama?

Lowassa amesema CCM anayoifahamu yeye mambo yote hujadiliwa na kuamuliwa na vikao vya chama!

Source: ITV habari kwa saa!
=======================

 
Lowasa amemshangaa Nape kwa kutoa matamko bila vikao vya chama! Amehoji kauli anazotoa zimetokana na kikao kipi cha Chama?

Lowasa amesema CCM anayoifahamu yeye mambo yote hujadiliwa na kuamuliwa na vikao vya chama!

Source: ITV habari kwa saa!
Nyerere alivyosema kuwa Lowasa mjinga hajakosea kabisa sasa ndiyo naanza kuelewa,

kwani Lowasa hajui kuwa nape ni msemaji wa chama,

Kwani kasema mangapi ambayo hayatokani na kikao au vikao.
 
Kauli ya Nape ni kauli ya Jk.

Lowassa jiandae kuenguliwa.Hivyo vikao unavyoongelea vikikaa kazi ni moja tu nayo ni kuhakikisha unapigwa chini.

Hata hivyo,hii ni laana ili tu CCM iangamie kupitia Lowassa na Kikwete.

Hata Mungu amewachoka na this time around lazima msambaratike kama sio kuhujumiana.

Ama kweli malipo ni hapa hapa duniani.

Mmetutendea uovu mwingi watanzania na sasa mungu kasema yatosha.

Mnara wa babeli unakaribi kuanguka.
 
Nyerere alivyosema kuwa Lowasa mjinga hajakosea kabisa sasa ndiyo naanza kuelewa,

kwani Lowasa hajui kuwa nape ni msemaji wa chama,

Kwani kasema mangapi ambayo hayatokani na kikao au vikao.

Alisema nini na wapi uliponukuu hayo maneno ya Nyerere?? kua EL ni mjinga??
Hata kama Nape msemaji wa chama.. lini walikaa KIKAO hivi karibuni mpaka kufikia Nape kumtamkia maneno EL
Acha ushabiki mandazi wivu unakusumbua si buree weee umetumwa!!
 
Mzee Mamvi anaweweseka hizo hela anazotoa posho angezitunza watoto wake waje wamsadie kwa kumuhudumia atakapokuwa nyuma ya nondo mapema november UKAWA itakapokuwa mjengoni.
 
Nyerere alivyosema kuwa Lowasa mjinga hajakosea kabisa sasa ndiyo naanza kuelewa,

kwani Lowasa hajui kuwa nape ni msemaji wa chama,

Kwani kasema mangapi ambayo hayatokani na kikao au vikao.


Acha mihemuko mkuu utaolewa,
Anatakiwa kueneza kile kilichoamuliwa kwenye kikao na si kuform kwa utashi wa division 4 yake!

Anayoyasema yamejadiliwa ktk kikao kipi? Lini?
 
Tatizo Nape kwenye hili swala pamoja na kuwa msemaji wa chama hayuko natural toka zamani..ndio maana ata kama anafanya kazi yake wengine wanadhani anafanya kwa sababu binafsi!

NB:Hili swala haliwezi kuwasaidia UKAWA kwenda ikulu na wala wasijidanganye ...Rais wa nchi hii hawezi kutoka nje ya CCM..
 
Lowasa amemshangaa Nape kwa kutoa matamko bila vikao vya chama! Amehoji kauli anazotoa zimetokana na kikao kipi cha Chama?

Lowasa amesema CCM anayoifahamu yeye mambo yote hujadiliwa na kuamuliwa na vikao vya chama!

Source: ITV habari kwa saa!

Vita vya panzi furaha ya kunguruuuu😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…