LOWASA ALIKIMBIA NINI KARATU:
Kwa nini Lowasa hakuweza fanya mkutano karatu licha ya maandalizi yake kufanywa?kwanini aliishia Mto wa mbu wakat pale na karatu kwa chopa ni dk 5 tu?tatizo ni nini??
Acheni siasa za maji taka!!! Mbona akifika Mto wa Mbu hakwenda Monduli?? Mbona hakwenda Longido na hamuulizi?? Siku ikifika mtamsikia Karatu. Au nyie ndio mnampangia ratiba???