Mtoa post hajielewi ama eidha katumwa lumumba
Karatu hawaitaki kabisa ccm na kama hujui karatu ni moja ya sehem halmashauri inaongozwa na upinzani
Ndo mana ushirikiano baina ya mgombea na wananchi leo haukua mzuri kwan ni kikundi kichache sana ndio kilikua kinamshangilia pombe na wengiene walokua wamekula pesa walikua wanamchora tu