TBO
Senior Member
- Jan 3, 2014
- 194
- 87
Wewe ndio chizi tena taahira kabisa. Umeweza kuamini MSEMO lakini hutaki kuamini ANDIKO?
Mimi nakwambia kitu kilichoandikwa kwenye Biblia wewe unaleta bangi na konyagi jibapa hapa. Hebu niambie ni kitu gani hicho unachotaka nielewe nje ya Biblia?
Amri ya 6 inasema usizini, wewe ukanywe viroba vyako pale kijiweni kwenu Ubungo uje kutubadilishia mada "Oooh, kama nina nyege je? Nisizini vipi na mimi ni rijali?" Mtu kama wewe nikikuita taahira nitakuwa nimevunja kifungu gani cha katiba?
Biblia imesema MTUMISHI WA MUNGU HAPASWI KUWA MGOMVI, full stop.
Njaa zinakusumbua unatafuta watu wakuwatolea uchovu huna lolote, kwa jinsi unavyo andika nimegundua wewe ni mtu wa aina gani wewe ni hopeless kabisa kwanza huna roho wa Mungu ndani yako na ndio maana una toa lugha za matusi nakushauri usikate tamaa bado unaweza toka kimaisha tafuta kazi fanyaWewe ndio chizi tena taahira kabisa. Umeweza kuamini MSEMO lakini hutaki kuamini ANDIKO?
Mimi nakwambia kitu kilichoandikwa kwenye Biblia wewe unaleta bangi na konyagi jibapa hapa. Hebu niambie ni kitu gani hicho unachotaka nielewe nje ya Biblia?
Amri ya 6 inasema usizini, wewe ukanywe viroba vyako pale kijiweni kwenu Ubungo uje kutubadilishia mada "Oooh, kama nina nyege je? Nisizini vipi na mimi ni rijali?" Mtu kama wewe nikikuita taahira nitakuwa nimevunja kifungu gani cha katiba?
Biblia imesema MTUMISHI WA MUNGU HAPASWI KUWA MGOMVI, full stop.