Lowassa akutana na mzee wa upako

Lowassa akutana na mzee wa upako

Wewe ndio mtupu kabisa kichwani, kasome

2Timotheo 2:24-25
Ukitaka tufunuliane maandiko yapo hadi yanayo kuhukumu wewe kwa maana Biblia inasema usihukumu usije kuhukumiwa sasa wewe ni nani kuweka hukumu kwa binadamu mwenzako??
 
Ukitaka tufunuliane maandiko yapo hadi yanayo kuhukumu wewe kwa maana Biblia inasema usihukumu usije kuhukumiwa sasa wewe ni nani kuweka hukumu kwa binadamu mwenzako??
Acha papara wewe, nani kahukumiwa hapa?

Nimemtaka arejee muongozo wa Biblia juu ya namna Mtumishi wa Mungu anapaswa awe. Ikiwa kumquote mtu ni kumhukumu, ina maana na wewe umenihukumu mm? Kasome kifungu nilichoweka, acha domo. Mtumishi hapaswi kuwa mgomvi, kama anapenda ugomvi akawe bondia
 
Sasa huko si
Acha papara wewe, nani kahukumiwa hapa?

Nimemtaka arejee muongozo wa Biblia juu ya namna Mtumishi wa Mungu anapaswa awe. Ikiwa kumquote mtu ni kumhukumu, ina maana na wewe umenihukumu mm? Kasome kifungu nilichoweka, acha domo. Mtumishi hapaswi kuwa mgomvi, kama anapenda ugomvi akawe bondia
sasa huko si ndo kuhukumu kwenyewe, alafu mtumishi wa Mungu ndo malaika kwamba mtu akimkorofisha abaki akimtazama kwani yeye hana hisia??
 
Mwambieni mwenzio Kikwete yuko Dodoma anakagua shamba lake la zabibu. Lowassa bado anawinda urais! Kila zama na mambo yake, zama za Lowassa zimepita, alee wajukuu sasa na awape vijana waendelee na mikiki mikiki ya siasa.

Lowassa ameapa lazima siku moja aitwe Mh. Rais. Na atatumia pesa kifanikisha hilo. Bahati mbaya hajui kuwa Mungu wa Mbinguni hafurahishwi na mbinu anazotumia kufikia azma yake hiyo. Tusubiri yetu macho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lowassa ameapa lazima siku moja aitwe Mh. Rais. Na atatumia pesa kifanikisha hilo. Bahati mbaya hajui kuwa Mungu wa Mbinguni hafurahishwi na mbinu anazotumia kufikia azma yake hiyo. Tusubiri yetu macho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kasi ya Magu upinzani wasahau kuingia ikulu
 
Lowassa anajua kutengeneza marafiki kuliko maadui, huwa habagui dini, itikadi, rangi, jinsia, uchumi au kabila.

Alibarikiwa kuwa na moyo wa kipekee sana, hakuna namna unaweza kukwepa kumpenda Lowassa kwa hulka hiyo. Ni mtu wa watu.

Kama unabisha nenda kamuulize Kikwete, Ridhwani, Nape nk. Hao watakwambia hicho kitu.
 
Huo ushauri aliopewa hapo inabidi achanganye na zake.

well mbio za 2020 zimepamba moto huko chadema ilikua lazima naye ajibu mapigo.

Ngoja tusikilize naye yule mwenye akili za mwendokasi atakuja na lipi.
 
Yote kwa yote Mzee wa Upako, ukiweka wivu,udini,umadhehebu,ukabila,ukanda,ulokole nk vyote hivi ukiviweka pembeni ukaamua kumsikiliza na kutafakari kile anachozungumza katika Mahubiri yake hakika kuna kitu unapata.
 
Sasa huko si
sasa huko si ndo kuhukumu kwenyewe, alafu mtumishi wa Mungu ndo malaika kwamba mtu akimkorofisha abaki akimtazama kwani yeye hana hisia??
Dogo, unabishana na mimi au unabishana na Mtume Paulo aliyesema Mtumwa wa Mungu hapaswi kuwa mgomvi? Inaonekana umejaa mapepo kichwani kiasi ubongo umesizi eti?

Biblia hiyo hiyo inakataza KISASI na hasira, sasa nyie mkishakunywa BAPA huwa mnasoma Biblia ipi?
 
Yote kwa yote Mzee wa Upako, ukiweka wivu,udini,umadhehebu,ukabila,ukanda,ulokole nk vyote hivi ukiviweka pembeni ukaamua kumsikiliza na kutafakari kile anachozungumza katika Mahubiri yake hakika kuna kitu unapata.
Yes, stimu.
 
Dogo, unabishana na mimi au unabishana na Mtume Paulo aliyesema Mtumwa wa Mungu hapaswi kuwa mgomvi? Inaonekana umejaa mapepo kichwani kiasi ubongo umesizi eti?

Biblia hiyo hiyo inakataza KISASI na hasira, sasa nyie mkishakunywa BAPA huwa mnasoma Biblia ipi?
Umejipanga kubishana Sio kuelewa na pia Kuna msemo unasema kumuelimisha chizi unajipa kazi
 
Umejipanga kubishana Sio kuelewa na pia Kuna msemo unasema kumuelimisha chizi unajipa kazi
Wewe ndio chizi tena taahira kabisa. Umeweza kuamini MSEMO lakini hutaki kuamini ANDIKO?

Mimi nakwambia kitu kilichoandikwa kwenye Biblia wewe unaleta bangi na konyagi jibapa hapa. Hebu niambie ni kitu gani hicho unachotaka nielewe nje ya Biblia?

Amri ya 6 inasema usizini, wewe ukanywe viroba vyako pale kijiweni kwenu Ubungo uje kutubadilishia mada "Oooh, kama nina nyege je? Nisizini vipi na mimi ni rijali?" Mtu kama wewe nikikuita taahira nitakuwa nimevunja kifungu gani cha katiba?

Biblia imesema MTUMISHI WA MUNGU HAPASWI KUWA MGOMVI, full stop.
 
Back
Top Bottom