ninachompendea lowasa hapendi sifa,wala si mjivuni,halafu hana majigambo meengi,yani inshort anajua kucheza na minds za watu,halafu jamaa ana nyota ya pilau ya kuku, na cha mwisho,jamaa kakomaa kisiasa,anaijua siasa,watu km kina slaa au magufuli ilihitajika wajifunze siasa kupitia kwa lowasa,