Lowassa aitikisa Meatu

Lowassa aitikisa Meatu

Ungeanza na picture kwanza!!!!!!!! ili tumuone Rais wetu na jinsi wasukuma wanavyomkubali huko village maan ccm ilishawazurumu sana hasa enzi za shirecu pamba ilikuwa inachkuliwa kwa mkopo ambao hadi mwaka upite ndo pesa zije na wengine walikuwa wanakufa bila kuziona; kwa hiyo wanahasira ile mbaya na sisem chama cha cha majangiri: Mabadiliko LOWAAAAAAAASSSAAAAAAA MABADILIKO & MABADILIKO LOWAAAAAAASSAAAAAAAA ndo rais jkm alie tuuuuu!! na tutalinda kura zetu kwa nguvu zote hakuna kwenda nyumbani mpaka hesabu ikamilike
 
Pamoja na yoote, meatu yetu tuna mbunge wa cdm but uyo lowasa fisadi asituletee wingu magufuli atatatua shida zetu
 
Last edited by a moderator:
Mgombea urais kwa tiketi ya chadema Lowassa anapachimba meatu mda huuuu.

Kabla ya hapo kabla ya hapo alihutubia mkutano mwingine wa hadhara katika jimbo la Kisesa.

Picha zitawajia pundeee, ni mafuriko hatari.

update :

amemaliza kuhutubia ndio anaondoka anasubiriwa mkutano mwingine mjini singida

Lowasa hawez hata kushika maiki
Atawezaje kuitikisa Meatu

Uharooo was geita
 
je jenero nyanke karejea!!!!? maana waongosisiem walituaminisha atalejea leo (yaan jana) sasa kisharipoti au? isije ikawa kama ya guvana blali maana na yeye alienda usa kwa ziara ya kikazi hadi leo haja appear cjui ni ziara ya millenium? "mtu akikana hadharani kuwa hana kikohozi na huku anacho, basi kikohozi chenyewe kitamuumbua wakati wowote maana hakina uvumilivu hata kidogo"
 
Mafisadi wamejaa Bandarini. Hata Magufuli anawaona ila wengine mnajifanya hamuoni. Kweli natamani Magufuli wakati mwingine na kupenda masifa kwake aje hapa awatie BAKORA wote wenye akili mtindio bila kujali vyama wanavyotoka.

Ameahidi atakapoingia madarakani, atahakikisha kuwa mafisadi wote wanashughulikiwa bila woga.

Mgombea Urais wa CCM, Dk. John Pombe Magufulu akizumgumza katika mkutano wa kampeni
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema mafisadi wamo hadi ndani ya chama chake na ndiyo maana baada ya kuteuliwa kuwa mgombea urais wengi wao wameanza kuweweseka kutokana na hofu kubwa waliyo nayo dhidi yake.

Akizungumza kwa nyakati tofauti katika mikutano ya kampeni ya chama chake mjini Kisarawe, Pwani na baadaye Ukonga, jijini Dar es Salaam jana, Magufuli alikiri kuwa chama chake kiliwalea walarushwa na mafisadi kwa muda mrefu na ndiyo maana baadhi ya watu walianza kukichukia.

Hata hivyo, alisema tatizo hilo halitakuwapo tena kwani atakapoingia madarakani baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, atahakikisha kuwa mafisadi wote wanashughulikiwa bila woga.

“Ndugu zangu, nasema kweli mafisadi hawako upinzani tu... ni ngumu sana mtu aliye ndani ya CCM kuyasema haya, lakini lazima niseme ukweli maana msemaukweli ni mpenzi wa Mungu. Haya mafisadi ndiyo yametufikisha hapa na (sasa), lazima tuyashughulikie,” alisema Magufuli na kushangiliwa na wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wake wa Ukonga.

Magufuli aliwataja kwa sifa za jumla mafisadi waliopo kuwa ni pamoja na baadhi ya viongozi wa serikali, ambao hujihusisha na vitendo vya rushwa na dhuluma dhidi ya wananchi kiasi cha kuifanya serikali ichukiwe na baadhi ya wananchi wake.

Akitolea mfano, Magufuli alisema ni aibu kuona serikali ikikimbizana na mamalishe na wafanyabiashara ndogondogo (Wamachinga) ili kupata kodi wakati kuna baadhi ya nchi ambazo zinaendeshwa kwa mapato ya bandari tu.

Magufuli aliongeza kuwa anatambua wananchi wamekuwa wakinyanyaswa katika maeneo mbalimbali ikiwamo kutozwa kodi zisizosaidia kuinua pato la taifa bali kuwafaidisha baadhi ya viongozi na kwamba, kwa sababu hiyo, haoni sababu ya kuendelea kwa hali hiyo hasa kwa kujua kuwa kuna nchi zinajiendesha kwa mapato ya bandari.

Alisema yote hayo ni baadhi ya mambo anayoamini kuwa ni sababu ya yeye kuchaguliwa kuwa rais ili kudhibiti uonevu kwa wanyonge na pia kupambana na mafisadi serikalini, ambao wamezoea kuishi kwa rushwa na ulaghai.

Kwa mfano, alisema anajua namna ambavyo baadhi ya watumishi bandarini huruhusu makontena kupita bila kulipiwa ushuru na kuikosesha serikali mapato yake ili kuwahudumia wananchi.

“Wapo watu wanaikosesha serikali mapato. Hawa nataka nikapambane nao... na nitapambana nao kweli kweli. Na hawatanikwepa…najua wananiogopa na wameanza kumwaga hela ili nishindwe. Nyinyi hela zao kuleni maana ni kodi zenu, lakini kura ni kwa Magufuli,” alisema.
K/K
Sasa wanaCCM wanaokuwa wanabwabwaja humu kuwa mafisadi wamekimbia CCM hebu tuelezeni ninyi na magufuri nani mwongo

Hili fisadi la kazi gani.
 
hapana hawamtaki kabisaaa yaani kama kuna sehemu pombe ataangukia pua basi ni kwa wavuvi coz alishawachomea nyavu zao kwa ukurupukaji wake mie naona atakuwa rais wa wapiga push up
 
Back
Top Bottom