Lowassa aitikisa Igunga

Lowassa aitikisa Igunga

Wanazura wakati katibu myeka wa mkuu sera na utafiti hajulikani alipo wasanii buana
 
bila kujitoa ufahamu huwezi kuwa mshabiki wa hiki chama, juzi tu hapa mlimwita fisadi na majina yote ya ovyo, leo kageuka shujaa!!!

watanzania ni watu wanafiki sana wakiongozwa kwa kiasi kikubwa na hiki chama cha kaskazini , . ukiibia nchi hii halafu ukajikusanyia utajiri ukaanza kutoa pesa kwenye misikiti, na makanisani , halafu ukawa mkimya unaitwa mwenye busara na watu wanaaza kukkuona mtakatifu na hicho ndo kinachotokea kwa lowasa,
eti leo anaonekana lowasa anabusara maajabu kweli
 
Alipokuwa ccm alikuwa hana busara? Tafakari andiko lako kama uko sawa kiakili
 
Back
Top Bottom