Automata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 3,443
- 4,912
Huyo ndo the so called Mwanahabari HuruYaan we mkuu bado unamambo haya
Huyo ndo the so called Mwanahabari HuruYaan we mkuu bado unamambo haya
Unawaza kwenye 2-D wakati wenzio tayari tuko kwenye 3-D,hapo hautaelewa chochote siasa ni mikakati na mbinu kama una akili nyepesi kuliko pamba hautaweza kuelewaAmetikisa Igunga mbona nyumba hazijaanguka?
Halafu baada ya hapo unaanza kuzungusha mikono kwenye 3-D, ha ha ha.Unawaza kwenye 2-D wakati wenzio tayari tuko kwenye 3-D,hapo hautaelewa chochote siasa ni mikakati na mbinu kama una akili nyepesi kuliko pamba hautaweza kuelewa
Mbona zilikoanguka nyumba mmeingia mitini na rambirambi zao? Huyo atakuwa ametikisa kwa namna nyingine, kawaulize polisi wa Igunga!Ametikisa Igunga mbona nyumba hazijaanguka?
Yaani hata sijui unaongea nini.Mbona zilikoanguka nyumba mmeingia mitini na rambirambi zao? Huyo atakuwa ametikisa kwa namna nyingine, kawaulize polisi wa Igunga!
Usijifanye huelewi! Ulitaka mleta thread katika andiko lake aonyeshe nyumba zilizobomoka kutokana na mtikisiko uliosababishwa na Lowasa kuwa Igunga. Nami nimekwambia mtikisiko wa nyumba ulitokea kule ambako rambirambi zao mmeingia nazo mitini, mtikisiko wa Igunga sio wa aina hiyo, bali polisi wa Igunga wanaweza kukueleza! Huelewi nini sasa?Yaani hata sijui unaongea nini.
ahahaha,dahsiasa raha sana kama umejamba mfuzi wa kimyamya unawacha wao wanajishushua nani kajamba we umetulia tu
Pumba zote ulizoandika....Huelewi nini sasa?
bila kujitoa ufahamu huwezi kuwa mshabiki wa hiki chama, juzi tu hapa mlimwita fisadi na majina yote ya ovyo, leo kageuka shujaa!!!Mungu azidi kumpa afya njema na nguvu shujaa wetu
bado una mawazo mgandobila kujitoa ufahamu huwezi kuwa mshabiki wa hiki chama, juzi tu hapa mlimwita fisadi na majina yote ya ovyo, leo kageuka shujaa!!!
Mkuu hizo ni siasa tu, wanasiasa karibu wote ni vigeugeu! JPM wakati wa kampeni alisema, "nchi hii imefika hapa ilipo kwa sababu ya mafisadi, na nikiwa raisi nitaanzisha mahakama ya mafisadi". Na kweli ametimiza hiyo ahadi ya mahakama ya mafisadi. Sasa sikia hii, "siwezi kufukua makaburi kwa sababu mengine hatutaweza kuyafukia". Sasa jiulize bila kufukua makaburi atawapata wapi hao mafisadi walioifikisha nchi kwenye hali mbaya? Kigeugeu....! Usimwamini mwanasiasa hata.kama ni ndugu yako!bila kujitoa ufahamu huwezi kuwa mshabiki wa hiki chama, juzi tu hapa mlimwita fisadi na majina yote ya ovyo, leo kageuka shujaa!!!
Kama ni mazito sana anaweza akashindwa kuyabeba.Nimempa Lowasa maneno mazito sana leo Igunga,2020 sio mbali