Lowassa aionya Tume ya Uchaguzi

Lowassa aionya Tume ya Uchaguzi

Acha awadanganye,naamini sana jeshi letu kua imara na lenye nidhamu,pia naamini watanzania wengi kua wenye hekima,hofu,usikivu na kujishusha,ukiwa na watu wa hvyo hata nusu ya wanainchi amani itakuwepo.asiogopeshe watu kwa njia zake mbaya!

Ila Jakaya alikua sahihi alivyosema upinzani ndio unaotaka kuleta furugu siku ya kupiga kura ili wana Ccm wasiweze kupiga kura acheni kujifanya manyani
 
Acha awadanganye,naamini sana jeshi letu kua imara na lenye nidhamu,pia naamini watanzania wengi kua wenye hekima,hofu,usikivu na kujishusha,ukiwa na watu wa hvyo hata nusu ya wanainchi amani itakuwepo.asiogopeshe watu kwa njia zake mbaya!
Jeshi ndio linalinda amani au unaandika tu mkuu???,yaani watu wanajaribu kutibua utulivu ulipo kwa kigezo kuwa jeshi lipo imara!!!

Kawaulize misri wenye jeshi bora africa kama liliweza kuipigania amani iliyovurugwa na wapuuzi wachache.
Toa mfano.CCM NDIO CHAMA CHA AMANI.
UKAWA haiheshimu hata polisi
Membe-ushindi ni lazima ccm,ikishindikana tutakutana na lowassa msituni.

Sjui msituni kuokota kuni???.

Kwa nini ana hofu? Alikwisha kutuambia kuwa hajui maana ya kushindwa kwa hiyo inaonekana atakataa matokeo hata kama tume itaFanya kazi yake vizuri.
msamiati wa kushindwa haupo tume ikiwa huru,ndio anachosisitiza.
 
Amani ya nchi kweli iko mikononi mwa NEC. Haki isipotendeka hasa wakati wa wa KUHESABU na KUJUMLISHA kura zilizopigwa na wananchi, wajue tu kwa mara ya kwanza tangu UHURU nchi itawaka moto!! Watu wamechoka na kunyimwa haki yao ya kuchagua wawapendao!! UKAWA wawe makini sio wakati wa kuhesabu tu bali hasa WAKATI WA KUJUMLISHA kura zilizobandikwa kwenye vituo; hapa ndipo magamba wanaweza kubadilisha matokeo!!
El aache uoga na acpime wingi wa Kura kwa mikutano ya kampenini akajipa mia kwa mia.
 
Miaka yote aliyokuwa mbunge na waziri mkuu alifanya nini kuwa NEC inakuwa huru? Wiki moja kabla ya uchaguzi ndio amajua umuhimu wa hili? Silly politician! Incompetent leader - if the two can be used in the same sentence.
 
Miaka yote aliyokuwa mbunge na waziri mkuu alifanya nini kuwa NEC inakuwa huru? Wiki moja kabla ya uchaguzi ndio amajua umuhimu wa hili? Silly politician! Incompetent leader - if the two can be used in the same sentence.

Dr. Mihogo kashatua?
 
Amani ya nchi kweli iko mikononi mwa NEC. Haki isipotendeka hasa wakati wa wa KUHESABU na KUJUMLISHA kura zilizopigwa na wananchi, wajue tu kwa mara ya kwanza tangu UHURU nchi itawaka moto!! Watu wamechoka na kunyimwa haki yao ya kuchagua wawapendao!! UKAWA wawe makini sio wakati wa kuhesabu tu bali hasa WAKATI WA KUJUMLISHA kura zilizobandikwa kwenye vituo; hapa ndipo magamba wanaweza kubadilisha matokeo!!

Amani ya inchi iko mikononi mwetu sote na siyo NEC pekee,unadhani NEC wakifanya haki na sisi raia tukakataa kila mmoja kwa mapenzi ya chama chake si bado tutaingia matatizoni tu?wanasiasa viongozi ndo wanataka kutuvuruga wanainchi kwa kauli zao za kujihami.kwa mfano mwaka huu kundi moja linaamini litashinda na kama halitashinda litakua limeibiwa,huoni hyo ni shida?mtu unajihakikishiaje kushinda tu ktk mpambano umekua MUNGU?ni sisi wenyewe ndo tutaleta shida kupitia kauli za viongozi wetu kisiasa ilihali wenyewe watakua na tiketi tayali hata ya kuvuka mipaka.watanzania tushituke na tukamatane kama ndugu moja tusio na ugomvi.MUNGU ILINDE TANZANIA
 
CCM na NEC wanataka kuleta machafuko nchini..... Kwa kuwa timu ya ICC washatua tunaomba watoe tamko haraka sana...

1444982416261.jpg
 
Lowassa si mgonjwa tu anaropoka bila mpango.

Robot kazini.
 

Attachments

  • 1444983478279.jpg
    1444983478279.jpg
    13 KB · Views: 98
  • 1444983502713.jpg
    1444983502713.jpg
    42.3 KB · Views: 97
  • 1444983521373.jpg
    1444983521373.jpg
    48.3 KB · Views: 92

chonde chonde jamani , tusimwache huyu mama awe maarufu kwenye mitandao yetu siku za karibuni, NEC!!! tunaomba mtoe maelezo ya uozo wa daftari la wapiga kura haraka sana na mlitafutie hili suala ufumbuzi, aibu kubwa hii kwa nchi kama Tanzania kuwa na hayo madudu wiki moja kabla ya uchaguzi.....
 
Back
Top Bottom