fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
kuijua njia na kuipita njia ni tofauti sana
Arumeru ni CCM wenyewe kwa wenyewe walihujumiana kwa kumhujumu chaguo la EL ili kumkomoa!. 2015 CCM ikirekebisha makosa, jimbo linarejea kwao!. Tena kiukweli kama Chadema inataka kuyalinda baadhi ya majimbo yake, haina budi kuwasaidia baadhi ya wabunge wake dhaifu katika ufuatiliaji, usimamizi na utekelezaji, vinginevyo 2015, itayapoteza!.
Pasco
Arumeru ni CCM wenyewe kwa wenyewe walihujumiana kwa kumhujumu chaguo la EL ili kumkomoa!. 2015 CCM ikirekebisha makosa, jimbo linarejea kwao!. Tena kiukweli kama Chadema inataka kuyalinda baadhi ya majimbo yake, haina budi kuwasaidia baadhi ya wabunge wake dhaifu katika ufuatiliaji, usimamizi na utekelezaji, vinginevyo 2015, itayapoteza!.
Pasco
Na sasa hayupo mtu wa hekima kama Mwalimu naona anguko la CCM.Kwa Lowasa, kuliko Membe/Sitta/Mwakyembe kuwa raisi, ni bora CDM wachukue nchi and vice versa. ..