bridalmask
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 2,195
- 1,169
![]()
Pole sana Lowassa, hii ndio balaa ya kuwa UKAWA.
Kitaalamu kumuinulia kiatu Kama hawa jamaa kwa kiongozi mkubwa ni matusi makubwa na haipendezi
Umechemsha na Adobe Photoshop yako, makamanda huu ni usanii wa Buku 7 tu.Kwanza hakuna watu wanaotaka mabadiliko kama hawa watu maana wana khali ngumu sana hata ukiangalia picha zao tu.
aona
Kuthibitisha usanii wa lumumba huyu angalia picha ya the coming president na ya wamachinga utaona tofauti kubwa ya rangi.Pole sana kwa kuutumika vibaya ila mwisho October 25,2015 tuna kwenda kukukomboa toka jehanamu uungane na sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.