- Thread starter
- #61
Hao machinga wako mzigoni wanamshangilia rais wao, we ulitakaje kwani
#HapaKaziTu Chadema sasa Kwisha Habari yao
Hao machinga wako mzigoni wanamshangilia rais wao, we ulitakaje kwani
Ndio ccm imewafikisha wanamwonyesha Lowasa walivyochoka. Bila mabadiliko hapo hamtoki mmedanfanywa mpaka mmevia
![]()
Pole sana Lowassa, hii ndio balaa ya kuwa UKAWA.
Kitaalamu kumuinulia kiatu Kama hawa jamaa kwa kiongozi mkubwa ni matusi makubwa na haipendezi
Kwa utamaduni wa wapi? Sijawahi sikia kuwa katika jamii za kiafrika kuwa kumuinulia kiongozi kiatu ni balaa. Bali kwa waingereza/wamarekani ni kumrushia kiatu ndiyo balaa kwa imani yao.
Wewe Kapi nini umesha sikia
Ukiona ya kipumbavu unakausha unawaachia wenzio. YA kipumbavu kwako kwa mwingine inabamba mbaya. Tuvumiliane tu kwani October siyo mbali ati!Thread za kipumbavu namna hii kwanini Mods mnafumbia macho??
![]()
Pole sana Lowassa, hii ndio balaa ya kuwa UKAWA.
Kitaalamu kumuinulia kiatu Kama hawa jamaa kwa kiongozi mkubwa ni matusi makubwa na haipendezi
Kadi Ya Kupigia Kura Bila LOWASA=0.0000000000000000..........................................................
LOWASA ndie Shujaa Pekee Mwenye Uchungu Na nchi Hii, Hivyo Anafaa Kuwa Rais Wetu Watanzania!
Kesha gonga kisiki. Ni wa kumuombea tu sasa.Kadi Ya Kupigia Kura Bila LOWASA=0.0000000000000000..........................................................
LOWASA ndie Shujaa Pekee Mwenye Uchungu Na nchi Hii, Hivyo Anafaa Kuwa Rais Wetu Watanzania!
Ccm ogopeni Mungu. Acheni kuwapa fedha vijana na kuwavalisha kilofa ili wamfanyie lowasa mambo haya halafu mnadai ni Chadema wamemchoka! Vijana hawa wanafahamika kuwa ni ccm na wanasema mtaani baada ya kitendo hiki kuwa wamehongwa! Eti kwao hapendwi mtu bali noti!!!
Hivi nyie UKAWA mnapenda sana bure. Yaani shule zote muende bure. Hospitali bure. Hii bure itawafikisha pabaya sana nyie.Vijana waliokosa matumaini baada ya CCM kuwadanganya kuwa kutakuwa na maisha bora kwa kila Mtanzania.Mabilioni ya Kikwete yaliishia kwa wake wa Mawaziri na Wabunge wa CCM!