Haikuwahi kutokea hata mara moja Hayati Nelson Mandela iwe kwa dhahiri ama kwa kificho kuendesha usaliti ndani ya chama chake na ikumbukwe Mandela aliikuta ANC. Hadi mauti yanamchukua alibaki loyal kwa Chama na wananchama; hakujiinua nafsi yake kwamba yeye ni maarufu kuliko chama. Kumlinganisha Zitto na Mandela ni kuvuka mipaka ya dhihaka.