Lowassa afafanua kutoonekana kwake misibani

Naiona shida ya kuwapa uongozi watu waliopitia kwenye dhiki watataka tuishi kama wao walivyopita.
Kabisa, ni utaratibu mbaya sana. Kwa kuwa yeye alitembea kwa mguu kwenda kusoma shule za mbali, anataka na wanae watembee umbali mrefu kwa mguu kwenda masomoni ilhali nyumbani kuna magari na mabasi ya shule pia yapo. Kwa kuwa ali skip lunch, basi anatana na wenzake wa skip. Hii haikubaliki. Ni mentality mbaya sana ya kimaskini.
 
Haya wana CHADEMA familia ya Lowasa wakiumwa wanaruka na ndege kwenda kutibiwa nje ya nchi.Na mtu anayewapelekaea uji kwenda kuwaona naye anabeba uji kwenye ndege anaenda kuona mgonjwa wake nje ya nchi.Nyie wagonjwa wenu wakilazwa mnapanda daladala na michupa ya uji kuwahi hospitali za nchini.Lowasa sio mwenzenu

Sitta alienda kutibiwa Ujerumani,wewe hauna bima wala hela ya kwenda hospitali.
 
Lowasa aliliambia gazeti ya mwananchi jana kuwa kilichomkwamisha kufika kwenye misiba hiyo kuwa na safarini afrika kusini alikokwenda kumuangalia mdogo wake,Bahati lowasa aliyekuwa mgonjwa.
 
KAMA HAHUSIKI NA RICHMOND MBONA HAJAENDA KUMUAGA SIPIKA WAKE AMBAYE NI SITA?? EBU ACHENI KUDANGANYA WATU.
Usiwe mtu wa majungu mtu mzima wewe hivi kama kweli alikuwa anahusika na Richmond baba J angemuacha kweli si ndio mahali ambapo angepatia king. Fikiri kabla ya kuandika.
 
Baada ya gumzo kwenye mitandao ya kijami Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa ameibuka na kuweka sawa swala la yeye kutoonekana kwenye misiba iliyotokea hivi karibuni ya waliyokuwa viongozi wa serikali

Lowassa amesema kilichomkwamisha kufika kwenye msiba hiyo ni kuwa alikuwa safarini Africa Kusini alikokwenda kumwangalia mdogo wake , Bahati Lowassa aliyekuwa mgonjwa
 
Baada ya gumzo kwenye mitandao ya kijami Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa ameibuka na kuweka sawa swala la yeye kutoonekana kwenye misiba iliyotokea hivi karibuni ya waliyokuwa viongozi wa serikali

Lowassa amesema kilichomkwamisha kufika kwenye msiba hiyo ni kuwa alikuwa safarini Africa Kusini alikokwenda kumwangalia mdogo wake , Bahati Lowassa aliyekuwa mgonjwa


Kwanza mtu yeyote kumzungumzia Lowassa kuwa hakufika kwenye misiba ni kumwonea tu, baba wa watu hawagi na mtima nyongo yeye ni mpenda amani si mtu wa visasi kama wengine. hakuwepo nchini sasa mtaendelea kutunga nini watungaji wa ngonjera.
 
Mbona hata Chenge a.k.a Joka la makengeza sijamwona kwenye msiba wa Samweli Sitta.....??? Rejea mpambano wa uspika 2010
 
Baada ya gumzo kwenye mitandao ya kijami Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa ameibuka na kuweka sawa swala la yeye kutoonekana kwenye misiba iliyotokea hivi karibuni ya waliyokuwa viongozi wa serikali

Lowassa amesema kilichomkwamisha kufika kwenye msiba hiyo ni kuwa alikuwa safarini Africa Kusini alikokwenda kumwangalia mdogo wake , Bahati Lowassa aliyekuwa mgonjwa
Hata rambirambi hakutoa? Lowasa ana moyo wa paka.
 
Pumba tupu

OVA
Haya wana CHADEMA familia ya Lowasa wakiumwa wanaruka na ndege kwenda kutibiwa nje ya nchi.Na mtu anayewapelekea uji kwenda kuwaona naye anabeba uji kwenye ndege anaenda kuona mgonjwa wake nje ya nchi.Nyie wagonjwa wenu wakilazwa mnapanda daladala na michupa ya uji kuwahi hospitali za nchini.Lowasa sio mwenzenu
 
Back
Top Bottom