YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
Lowassa aliliambia gazeti hili jana kuwa, kilichomkwamisha kufika kwenye misiba hiyo ni kuwa safarini Afrika Kusini alikokwenda kumuangalia mdogo wake, Bahati Lowassa aliyekuwa mgonjwa.
Haya wana CHADEMA familia ya Lowasa wakiumwa wanaruka na ndege kwenda kutibiwa nje ya nchi.Na mtu anayewapelekea uji kwenda kuwaona naye anabeba uji kwenye ndege anaenda kuona mgonjwa wake nje ya nchi.Nyie wagonjwa wenu wakilazwa mnapanda daladala na michupa ya uji kuwahi hospitali za nchini.Lowasa sio mwenzenu