Lowassa adaiwa kutaka kuuawa!

Skills4Ever, update thread yako kwa post hii!
#112
 
Mwakiembe anataka kujibu mapigo? Ok wapi jkey?

Pengine inaweza kuwa kweli kwani naye Mwakyembe inasemekana ni mtu wa huko huko UWT, kwahiyo wanajuana mbinu zao lakini wanazidiana maarifa!!
 

Kumbe source ya yoote mtoto cheupe Freddy kazidiwa na pombe kabwabwaja na kushindwa ku back accusations? Au?

Fred ile scandal ya kununua nyumba kwa malaki ya pound Uingereza bila equivalent source of income uliimaliza vipi ?
 
Nape atuambie Ni nani aliwaua hawa?
  • Horace Kolimba
  • Edward Sokoine
  • Dr Nicas Mahinda
  • Abdallah Kassim Hanga
  • Sheikh Othman Shariff
  • Gibbons Mwaikambo
  • Ipyana Malecela
  • Immrani Kombe
  • Kigoma Malima
  • Julius Nyerere
  • Amina Chifupa

Wangwe alimuua nani?
Mgombea mwenza wa chadema alimuua nani?
 
Naona kuna mpango wa kumjenga Lowasa kisiasa, maana kila siku habari za kumhusu haziishi.
 
Fredrick Lowassa kaona Mwakyembe kapeleka ripoti ya kulishwa sumu serikali ameana amuokoe baba yake anayetajwa kushiriki kumlisha sumu mwakyembe?
 
Edward Lowassa alikwenda Israel hadi kwa mchungaji emmanuel Joshua Nigeria ili aokoke na kashfa zinazomwandama na kutubu kumbe hakuiombea familia yake mwanaye kakutwa kwenye kilabu cha pombe akibweka kama mbwa asie na mwenyewe akaanza kuwabwekea Usalama wa Taifa, je kesho na kesho kutwa atambwekea nani?
 
Hii ni mbinu ya kuwatisha Usalama wa Taifa waogope kufutalia nyendo za huyu fisadi
 
Nisaidieni jamani! mimi sijaelewa vyema! ni sababu gani inayomfanya lowasa atake kuuwawa? kwani sisi tunaweza kumsaidiaje ili asitishe lengo lake la kutaka kuuwawa?amepanaga kuuwawa na nani? si atamlipa ghali ili afanikishe kazi hiyo? ila nadhani ufisadi wake nao ndio unamchanganya. kama mpo karibu mwaweza kumshauri aachana na mpango huo wa kutaka kuuwawa kwani sii mzuri utamgharimu kiukweli ingawa taifa litanufaika kwa kujiuwa kwakwe
 
Nisaidieni jamani! mimi sijaelewa vyema! ni sababu gani inayomfanya lowasa atake kuuwawa? kwani sisi tunaweza kumsaidiaje ili asitishe lengo lake la kutaka kuuwawa?amepanga kuuwawa na nani? si atamlipa ghali ili afanikishe kazi hiyo? ila nadhani ufisadi wake nao ndio unamchanganya. kama mpo karibu mwaweza kumshauri aachana na mpango huo wa kutaka kuuwawa kwani sii mzuri utamgharimu kiukweli ingawa taifa litanufaika kwa kujiuwa kwakwe
 
Tunapochangia mada lazima tuangalie mazingira ya tukio. Aliyeleta thread hii anasema ilitokea katika Hotel FL akiwa anapata kilevi!..... kwa hiyo ni wazi kuwa ni ulevi tu ndio unaomsumbua. UWT wamuue baba yake kwa lip? kama ni gamba alishagoma kulivua sasa yameanza maneno mengine.
 
Hii ni mbinu ya kuwatisha Usalama wa Taifa waogope kufutalia nyendo za huyu fisadi

Ni mbinu pia ya kumsafisha kuelekea nia yake ya kutaka kugombea Urais Mwaka 2015. Sasa kutuhumu vyombo vya Usalama si njia sahihi, huyo mtoto wake atumie njia zingine ziko nyingi tu ikiwemo aliyotumia baba yake ya kumgeukia Mwenyekiti wake kwamba suala la Richmond analijua na kumtaka awachukulie hatua wana CCM wanaomtuhumu kuwa yeye ni fisadi.
 
Jamani eeh yule Dictator wa kikwele,mzee wa double standard haaminik.i
 
alimuumbua jk kwenye kikao cha NEC kuwa ni fisadi wa richmond,..unafikiri mzee wa visasi atamwacha?mwakyembe and lowassa are now on the same boat,..m.kwe.re amewaweka kwenye target ready to shoot..
 
"Polisi walitaka Fred aandike maelezo ambayo pia alitakiwa kuyatolea ufafanuzi ili jeshi liweze kutunza kumbukumbu dhidi ya tuhuma hizo na kuzifanyia kazi, lakini aligoma kabisa na alipobanwa aliangua kilio huku akidai kuwa ni pombe alizokunywa ndizo zilizosababisha amshambulie Mombo. Utetezi huo ulikubaliwa na polisi na kumtana kurejea kituoni hapo siku inayofuata."

Nimesema awali ni ulevi tu unamsumbua huyu hata hivyo Polisi wanatakiwa kuchukua hatua dhidi yake na kuhakikisha Afisa wa UWT anakuwa salama pia dhidi ya vitisho vya FEL.
 
Hii ni tactic ya kujitoa uhusika wake katika matukio ya unyweshaji sumu wenzake. Hapa haijalishi alihusika au hakuhusika.
 
Ndani ya CCM huwa hakuna kupoteza sifa ikipotea inanunuliwa.

Mkuu naheshimu maoni yako, kwa bahati mbaya ni maoni yanayopitwa na wakati.
Ifikapo 2015 tutaongozwa na Katiba mpya, ni wajibu wa kila Mtanzania akiwamo mimi na wewe kuhakikisha kuwa Haitoi Mwanya Kwa hata Kibaka wa Mtaani wacha Majizi yenye Mapembe kusogelea hata fomu ya Ugombea. Wakati wa kuendekeza Umasikini Tonge unafikia mwisho, Elimisha Familia na Jirani zako.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…