Lowassa adaiwa kutaka kuuawa!

Kama unayo nafasi ya kuyajua yote haya, basi na wewe ni UWT la sivyo huu ni umbea kama ulivyo umbea mwingine wowote.

Tiba

CCM IMEBAKI TU KUTUNGA UONGO SASA KWASABABU INAKUFA,lakini bado msimamo wa watanzania ni kumpigia kura LOWASSA NA VIONGOZI WA UKAWA.
 
Pamoja na hayo haimzuwii kuiongoza nchi, Kibaki alifanya campegn akiwa kwa wheelchair na akatoboa. Kibaki alikuwa na matatizo ya kiafya but aliliongoza jahazi la Knya ten yrs, EL yuko fit nimemuona alipo shake na Sumaye.
 
Akome akomae kuwa anamtusitusi rais wawatu mtalajiwa
 
humu ndan kuna lishetani limejivika vazi la malaika linapost uchafu tu.ushindwe ktk jina la MUNGU aliye hai.
 
Magamba ------- sana ivi hamuoni uzi huu ni wa mwaka gan?
 
Hii habari ni ya mwaka 2011 , mods please kuweni makini na watu wanao leta habari za miaka mingi iliyopita
 

Acha kuishi kwa kukariri story za kutengeneza na wazushi wenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…