wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Acha kuongopea uma ulivyo hodari ya kuleta habari za chini ya kapeti humu ungeshaileta
Nimesikia hii kitu nikashangaa sana !
Nimesikia hii kitu nikashangaa sana !
thihitisha kauli zako mkuuNdio
Lowasa ni sehemu ya mkakati mkubwa ndani na nje ya Chama wa Kumtoa Magufuli Ikulu.
Wanamtandao sasa wana amani moyoni kwani mwenyekiti wa kamati ya fitina pamoja na katibu wake wako ndani ya nyumba.
Wanamtandao ni wataalamu wa siasa chafu,Mtu pekee anayeweza kuwamudu wanamtandao ni mwanamtandao.Mwanamtandao pekee aliyewashinda wanamtandao ni Kikwete na bado yupo kwenye mtandao tena katika team ile ile ya wazee wa kupika ugali sumu.
Mkakati ni rahis sana hata mtoto wa cheke chea anajua.
Mfanye ajisikie salama.
Wawezeshe Wapinzani kimkakati
Weka wazi makosa yake
Muache wakati wa kampeni ateseke mwenyewe
Mbwage ama kwa kura au kwa rungu
So watanzania mjindae 2021 tutakuwa na sura mpya Ikulu.
Kuota ni ishara ya afya njema ya ubongo.
Kuota ni ishara ya afya njema ya ubongo.
Ndio
Lowasa ni sehemu ya mkakati mkubwa ndani na nje ya Chama wa Kumtoa Magufuli Ikulu.
Wanamtandao sasa wana amani moyoni kwani mwenyekiti wa kamati ya fitina pamoja na katibu wake wako ndani ya nyumba.
Wanamtandao ni wataalamu wa siasa chafu,Mtu pekee anayeweza kuwamudu wanamtandao ni mwanamtandao.Mwanamtandao pekee aliyewashinda wanamtandao ni Kikwete na bado yupo kwenye mtandao tena katika team ile ile ya wazee wa kupika ugali sumu.
Mkakati ni rahis sana hata mtoto wa cheke chea anajua.
Mfanye ajisikie salama.
Wawezeshe Wapinzani kimkakati
Weka wazi makosa yake
Muache wakati wa kampeni ateseke mwenyewe
Mbwage ama kwa kura au kwa rungu
So watanzania mjindae 2021 tutakuwa na sura mpya Ikulu.
Kwani Kikwete mwaka 2010 hakupambana na familia yake tu?Ila ana Kazi ngumu sana kupenya, hata km akipenya watamsusia apambane mwenyewe, 2015 aliponea tundu la sindano umaarufu ukiwa 90% Leo Uko 39%,kwa nguvu ya dola labda,napo si cha kutegemea sana maana nao ni waathirika wa stahiki zao,
Yetu macho mkuu!Ndio
Lowasa ni sehemu ya mkakati mkubwa ndani na nje ya Chama wa Kumtoa Magufuli Ikulu.
Wanamtandao sasa wana amani moyoni kwani mwenyekiti wa kamati ya fitina pamoja na katibu wake wako ndani ya nyumba.
Wanamtandao ni wataalamu wa siasa chafu,Mtu pekee anayeweza kuwamudu wanamtandao ni mwanamtandao.Mwanamtandao pekee aliyewashinda wanamtandao ni Kikwete na bado yupo kwenye mtandao tena katika team ile ile ya wazee wa kupika ugali sumu.
Mkakati ni rahis sana hata mtoto wa cheke chea anajua.
Mfanye ajisikie salama.
Wawezeshe Wapinzani kimkakati
Weka wazi makosa yake
Muache wakati wa kampeni ateseke mwenyewe
Mbwage ama kwa kura au kwa rungu
So watanzania mjindae 2021 tutakuwa na sura mpya Ikulu.
kula like mkuu wanjiru
Kwa sapoti kubwa sana na kina nape,kinana,makamba,nk.Kwani Kikwete mwaka 2010 hakupambana na familia yake tu?
Tatizo Hawa vijana wanapenda sana kujiliwazaAcha kujiburudisha
Lowassa karudi ccm,kutafuta amani ya moyo tu,hana uwezo wowote
kama watu wanataka kuozea jela kipindi hiki,walete tu mitandao yao ya rushwa ndio watamjua magufuli ni nani
Huyu hawezi kutikiswa na watu kama lowassa na genge lake huyu wa kutikiswa na mabeberu tu ila Hawa wa ndani simuoniHawakushindwa.. tatizo hawakua na lengo la pamoja wanamtandao wawil waliokuwa wanataka kitu kimoja.. wakapoteza wote.. na bahati ikamuangikia aliekuwa hayupo kwenye plan.
Wakiamua kuwa na lengo moja.. matokeo yataonekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Na zitabaki kuwa tetesi mpaka 2025Nasikia pole pole kawasaki karibu na lowasa kuna mpango wa kutoa magufuli, tetesi ..
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM ni level nyingine, kwa nje ni chama ila kwa ndani ni maajabu. Kuna tiss, jeshi na ikulu humohumo, sasa usipoliewa hilo utaona ni jambo jepesi hilo. Labda kama mnaongelea 2025/---