Lowasa: Hakuna wakuni kata jina ccm.

Lowasa: Hakuna wakuni kata jina ccm.

Lowassa hukatwi ila zamu hii rais anatoaka Zanzibar , uwahi uhamie Zanzibar mapema
 
Mtu kama el! Hafai kua kiongoz wa taifa hl! Kama anadilk kusema maneno mazito kama haya kuwa yy n kama hakuna wakumtishia nyau ndan ya ccm! Mm nafkr wakae pemben wamalzane huko!

Mkuu swali ni, je - KAYASEMA KWELI?
 
Namuunga mkono EL kwa maneno yake hayo. Kweli, ccm hakuna wa kuweza kumpiku Lowasa. Hao Watia nia wooote ni Mafisadi. Hakuna msafi hata mmoja, iweje umkate jina lake umpitishe fisadi kama yeye?
Nipeni jina moja tu lililo safi katika hao watia nia? Wakimkata ni ukanda umetumika si kigezo cha ufisadi. Wamlete kwetu tumkate wenyewe lakini si ccm na CC yake. Hawana udhu, wanapojipima naye wanajiona kuwa yeye ni msafi zaidi yao.
Mwaka huu, ccm itajijua kama ni chama dume au jike kwa Lowasa. Mlianza na kumvua gamba, mkanywea mchana, iwe leo kwenda Ikulu? Nami nasema hakuna wala hatakuwepo wa kumkata jina Lowasa. Mimi si shabiki wa Lowasa ila nakionea huruma chama kile kilichokuwa kinajitapa ati chama dume. Kwishney kalas cheee
 
Katika taarifa ya habari ya saa moja na nusu leo nimemsikia waziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya richmond amesema kuwa hakuna wa kumkata jina na aoni sababu ya kukatwa jina! Alianza kazi mwaka 1977 amekua mtumishi wa chama hicho na hajawah ajiliwa serikalin! lowassa Ameyasema hayo alipokua ruvuma leo! Hii itanogesha upasukaji na mgawanyiko wa chama hicho kama ilivyotokea kwa KANU! na kutoa mwanya wa wapinzan kwenda ikulu!

Nenda huko na propaganda zako za vitisho vya kitoto!
Chama kina taratibu zake za kuteua wagombea,lazima zifuatwe! Hakuna anaweza kutisha wala kushinikiza kuteuliwa. Wagombea wako 40,wote ni wanachama wa CCM, hivyo CC lazima ichuje na kupeleka NEC majina matano tu.
 
Lowassa..go..go...go...Rushwa mle wote....Ufisadi mfanye wote alafu leo tuhuma urushiwe wewe peke yako...
 
Lowasa "Nimeanza kazi CCM mwaka 1977, nina uzoefu kuliko mgombea yeyote anaetaka kuteuliwa na CCM, hakuna anayeweza kukata jina langu, anayetaka kukata jina langu aanze kukata jina lake"

Nyerere aliwahi kumfanyizia Pepari mmoja aliyekuwa anajisifu kuwa serikali ya Nyere ipo mfukoni mwake, naona Lowasa anajionyesha hapa kuwa ni mkubwa kuliko chama, chama kionyeshe ukubwa wake.
 
Kimya cha Jakaya kimeanza kumtisha Lowassa, hasikii wala hanusi mbinu zozote zinazopangwa na Jakaya huku akiona siku zinakaribia huenda ma best na wapanga mikakati wake ni mashushushu wa jk, hivi Makongoro mahanga, Sophia Simba, Hawa Ghasia, Apson, Hamis Mgeja, Emanuel Nchimbi, Chikawe hawa wote wako against Jakaya?? Lowassa kazungukwa na Marafiki maslahi, Mara akikatwa watahamia kwny kambi ya mgombea Mpya ndo maana kaanza kuweweseka, wajumbe wa Lowassa kwny CC wanajulikana kwa majina na idadi so Jk anayo anayopanga na hakuna aliejaribu kuotea kwa usahihi, Membe kawekwa kama Chambo ya Chenge kwa Samuel Sitta kwny Uspika 2010
 
Anajua hawamuwezi. Yeye na apson wana siri nzito, wakizitoa watu watatafutana hapa
 
Kimya cha Jakaya kimeanza kumtisha Lowassa, hasikii wala hanusi mbinu zozote zinazopangwa na Jakaya huku akiona siku zinakaribia huenda ma best na wapanga mikakati wake ni mashushushu wa jk, hivi Makongoro mahanga, Sophia Simba, Hawa Ghasia, Apson, Hamis Mgeja, Emanuel Nchimbi, Chikawe hawa wote wako against Jakaya?? Lowassa kazungukwa na Marafiki maslahi, Mara akikatwa watahamia kwny kambi ya mgombea Mpya ndo maana kaanza kuweweseka, wajumbe wa Lowassa kwny CC wanajulikana kwa majina na idadi so Jk anayo anayopanga na hakuna aliejaribu kuotea kwa usahihi, Membe kawekwa kama Chambo ya Chenge kwa Samuel Sitta kwny Uspika 2010

U have smell a mole in that line somebody is being played
 
Lowassa ni mfa maji haishi kutapa tapa kwani yeye ni nani hadi aongopwe ccm siyo mali yake hao aliowanunua ndio wataendelea kumlamba miguu,jina litakatwa tu na watu wake wajiandae kisaikolojia,ccm haiwezi kuongozwa na mafisadi
 
Hivi yeye lowasa ni nani mpaka aseme hakuna wa kumkata jina,?kwanini anaona yeye ndio pekee anaefaa kuwa rais na si mtu mwingine yeyote? Je anamtishia nani kutangaza maneno haya kwenye vyombo vya habari? Ngoja tusubiri tuone kama ccm wataogopa hivi vitisho vya huyu fisadi. Haiwezekani mtu mmoja tena fisadi atishie nchi nzima kiasi hiki.

Alijiunga ccm mwaka 1977 wakati wengi wenu mnaopiga domo leo mlikuwa hamjazaliwa.
 
Vita vya PANZI(vurugu ndani ya ccm), imani ya KUNGURU(fursa ya ukawa kushika dola)
 
Vigezo 13 ndiyo vitaamua, kama anapungukiwa vigezo hamna namna jingine zaidi ya kukatwa.
 
Lowassa ni mfa maji haishi kutapa tapa kwani yeye ni nani hadi aongopwe ccm siyo mali yake hao aliowanunua ndio wataendelea kumlamba miguu,jina litakatwa tu na watu wake wajiandae kisaikolojia,ccm haiwezi kuongozwa na mafisadi

Mwamakula = mnyakyusa ....unategemea mnyakyusa mwenzio awe Rais? Hahaaa anasaka wadhamini kwa landrover!
 
Back
Top Bottom