Lowasa, CCM ni Kama Yesu Yohana14:6!

Lowasa, CCM ni Kama Yesu Yohana14:6!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Yohana 14:6; Yesu alisema, mimi ndiyo Njia ya Ukweli na Uzima Mtu Hawezi kufika kwa Baba bila kupitia Kwangu!

Nimekuwa nikisia tetesi za hapa na pale ya kwamba Bw.Lowasa huenda jina lake likakatwa kugombea Uraiis ndani ya CCM na kama ikitokea hivyo basi yeye pmj na kundi lake watajitoa CCM na kuhamia Chama kingine!

Ushauri wangu kwa Lowasa na wafuasi wake msilogwe mkajitoa CCM na kujiunga na Chama kingine kwani huo ndio utakuwa mwisho wenu na si ajabu ukawa mbaya sana ni bora hata mpigane na kupambana ndani ya CCM hata kama mkishindwa basi mbakie CCM, kwani siku Lowasa ukitangaza kutoka CCM kesho wanakufunga, utasikia TAKUKURU wanakuhitaji kukuhoji, na watakufunga kweli na hakuna kitu wewe au wafuasi wako mtafanya kumbukeni CCM ndiyo Dola yenyewe na msijidanganye kwa kutaka kufananisha CCM na KANU ya Kenya au Kaunda Zambia, CCM watakufungulia mashitaka na hautakwepa na mwishowe watakufunga!
 
Kwa hiyo Lowasa ndo ameishikilia roho ya ccm?mwaka huu raisi ajaye atatoka nje ya ccm
 
Yohana 14:6; Yesu alisema, mimi ndiyo Njia ya Ukweli na Uzima Mtu Hawezi kufika kwa Baba bila kupitia Kwangu!

Nimekuwa nikisia tetesi za hapa na pale ya kwamba Bw.Lowasa huenda jina lake likakatwa kugombea Uraiis ndani ya CCM na kama ikitokea hivyo basi yeye pmj na kundi lake watajitoa CCM na kuhamia Chama kingine!

Ushauri wangu kwa Lowasa na wafuasi wake msilogwe mkajitoa CCM na kujiunga na Chama kingine kwani huo ndio utakuwa mwisho wenu na si ajabu ukawa mbaya sana ni bora hata mpigane na kupambana ndani ya CCM hata kama mkishindwa basi mbakie CCM, kwani siku Lowasa ukitangaza kutoka CCM kesho wanakufunga, utasikia TAKUKURU wanakuhitaji kukuhoji, na watakufunguka kweli na hakuna kitu wewe au wafuasi wako mtafanya kumbukeni CCM ndiyo Dola yenyewe na msijidanganye kwa kutaka kufananisha CCM na KANU ya Kenya au kaunda Zambia, CCM watakufungulia mashitaka na hautakwepa na mwishowe watakufunga!
Lowasa sio gwajima wewe.lowasa hawezi kutoka ccm wao ndio wataokotoka
 
"Hakuna kulala, hakuna kulala mpaka kieleweke"
chadema_mkutano.jpg
 
Kwa hiyo Lowasa ni sawa na Yesu? Mawazo ya kijuha sana haya
 
Yohana 14:6; Yesu alisema, mimi ndiyo Njia ya Ukweli na Uzima Mtu Hawezi kufika kwa Baba bila kupitia Kwangu!

Nimekuwa nikisia tetesi za hapa na pale ya kwamba Bw.Lowasa huenda jina lake likakatwa kugombea Uraiis ndani ya CCM na kama ikitokea hivyo basi yeye pmj na kundi lake watajitoa CCM na kuhamia Chama kingine!

Ushauri wangu kwa Lowasa na wafuasi wake msilogwe mkajitoa CCM na kujiunga na Chama kingine kwani huo ndio utakuwa mwisho wenu na si ajabu ukawa mbaya sana ni bora hata mpigane na kupambana ndani ya CCM hata kama mkishindwa basi mbakie CCM, kwani siku Lowasa ukitangaza kutoka CCM kesho wanakufunga, utasikia TAKUKURU wanakuhitaji kukuhoji, na watakufunga kweli na hakuna kitu wewe au wafuasi wako mtafanya kumbukeni CCM ndiyo Dola yenyewe na msijidanganye kwa kutaka kufananisha CCM na KANU ya Kenya au Kaunda Zambia, CCM watakufungulia mashitaka na hautakwepa na mwishowe watakufunga!
Aisee!Unasoma darasa la ngapi?Una umri gani?Jifunze kufikiri kwa kutumia kichwa ili uelimike dogo.
 
Ndo uyu mnataka awe raisi wenu. analinganisha devil na yesu. kahh
 
Kwa maana nyingine Lowassa ni Mwizi, mla rushwa na ana madhambi ila analindwa na CCM? Hawezi kushitakiwa sasa hivi kwa kuwa yuko CCM ila siku akitoka anakatwa?
Kweli Hii nchi......
 
Akili zilizojichokea hizi sasa hapo Mf. wa Yesu unaingiaje?

Hivi hamuwezi kufanya siasa zenu mfu bila kuhisisha. Imani za watu? Unaweza ukawa na point nzuri lakini umekosea namna ya kuiwasilisha. Jiongoze siku nyingine.

BACK TANGANYIKA
 
Very Good...i will buy for you AZAM ICE CREAM...!!!

Lowassa ni YESU wa CCM currently....asante kwa new term...!!!
 
Back
Top Bottom