Lowasa aukana urais

Lowasa aukana urais

Hivi gamba lilishavulika au bado?


nivue gamba.jpg
 
Lowasa ni zaidi ya nani mtani jembe anafaa huyu bwana kuwa raisi wa nchi hii isokuwa na watu wenye msimamo
 
Always, ukweli ni mchungu, lakini inabidi usemwe.
Lowassa ni fisadi, ni kweli, lakini watanzania wengi wanamkubali, huo nao ni ukweli hata kama hatuutaki.
Katika pita pita zangu kila sehemu ninayofika hata kama ni safari za mikoani huwa najaribu kuchokoza mada za siasa ili kupata mawazo yao. Wengi wanajua kuwa jamaa ana kashfa, ila wanasema ni mchapakazi. Wengi wanasema kama Lowassaa atapitishwa kuwa mgombea bila shaka watampa kura yao. Naomba msinishambulie mimi mgeni jukwaani bandugu:lock1:

Kuna jamaa yangu aliwai nimbia msemo huu.."kila kiongozi umuonae madarakani anareflect akili za jamii husika "
Ukiona jamii inamuita mtu mwizi at the same time wanasema huyu ndio anafaa kutuongoza nafikiri hapo unapata picha akili za hiyo jamii zikoje.
Kashfa za ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi yalipelekea EL ajiuzulu lakini leo hii anaitwa PM mstaafu ili kupunguza makali ya kashfa zake.
Sa hivi kajua akili za jamii anayotaka kuitawa ipoje anachofanya anamwaga tu hela afu anasikilizia pembeni...watu weeee raisi raisi raisi
Ni vizuri kwasababu siasa ni vita cha msigi mtu ashinde ila ni kweli kabisa watanzania tumekuwa wepesi kiasi hiki.
Kweli kweli huyu jamaa leo hii ndio anaonekana lulu..mwenye utajiri husiojulikana source mwenye kumwaga hela bila kujali atazirudisha vipi..duh
 
Nataka nionane na Lowassa nipige nae story hata nusu saa tu.
Huyu jamaa bwana ana ni impress flani kwa mbali. Hivi mlishamsikia akitoa majungu kama vilaza wengine wa CCM.
Halafu napata feeling ni logical thinker. Yani anaweza kaa na viongozi wa nje wa kamuheshimu kwa level ya intelligence yake. Halafu he has a sense of pride as an african and tanzanian simwoni kama mtu wakujibembeleza bembeleza na kujikomba!
Nahitaji tu nimsikie candidly.
But so far Lowassa is the main deal!
 
Kuna jamaa yangu aliwai nimbia msemo huu.."kila kiongozi umuonae madarakani anareflect akili za jamii husika "
Ukiona jamii inamuita mtu mwizi at the same time wanasema huyu ndio anafaa kutuongoza nafikiri hapo unapata picha akili za hiyo jamii zikoje.
Kashfa za ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi yalipelekea EL ajiuzulu lakini leo hii anaitwa PM mstaafu ili kupunguza makali ya kashfa zake.
Sa hivi kajua akili za jamii anayotaka kuitawa ipoje anachofanya anamwaga tu hela afu anasikilizia pembeni...watu weeee raisi raisi raisi
Ni vizuri kwasababu siasa ni vita cha msigi mtu ashinde ila ni kweli kabisa watanzania tumekuwa wepesi kiasi hiki.
Kweli kweli huyu jamaa leo hii ndio anaonekana lulu..mwenye utajiri husiojulikana source mwenye kumwaga hela bila kujali atazirudisha vipi..duh
Lowassa alionyesha uwajibikaji na kama ni ufisadi tuonyeshe nani msafi.
Lowassas PRIDE is what I bank on as a sign that he will lead better. He is the likes of Kagame and Uhuru, sio puppets hawa jamaa by nature. Ni wanajiamini na kufanya maamuzi. wether maamuzi haya ni sahihi au sio sahihi ni subjective, lakini atleast tunakua tumepata kiongozi decisive. Jamani tumechoka kuendeshwa na nyota na kuombaomba ulaya! Tumechoka kuongozwa na watu wasiojua hata kwanini tumaskini!
 
Lowasa ameukana urais kwa kudai kwamba ‘urais ni uchuro’. Akiongea na vijana waendesha bodaboda kwenye mkutano wa hadhara, mara vijana hao walianza kuimba: “rais, rais, rais, rais wetu wa 2015”. Lowasa aliwakataza waache kumuita hivyo kwani urais ni uchuro na kwamba kufanya hivyo watakuwa wanamchonganisha na watu. Lowasa aliwaahidi vijana hao kuwachangia fedha ili kila mmoja amiliki chombo chake cha usafiri.

Source: Lowasa mwenyewe:israel:
Acha kudanganya watu wewe. Hotuba ya lowasa ipo mtandaoni. Kama huna cha kuandika nyamaza kimya kabisa. Tulia kabisa. Forever and ever.
 
Lowassa alionyesha uwajibikaji na kama ni ufisadi tuonyeshe nani msafi.
Lowassas PRIDE is what I bank on as a sign that he will lead better. He is the likes of Kagame and Uhuru, sio puppets hawa jamaa by nature. Ni wanajiamini na kufanya maamuzi. wether maamuzi haya ni sahihi au sio sahihi ni subjective, lakini atleast tunakua tumepata kiongozi decisive. Jamani tumechoka kuendeshwa na nyota na kuombaomba ulaya! Tumechoka kuongozwa na watu wasiojua hata kwanini tumaskini!

Mkuu, unamaanisha kwamba jamaa ni fisadi lakini anawajali wananchi kuliko kina Pinda anayejiita mtoto wa mkulima lakini hana jipya? Kama kweli fisadi Lowasa leo hii kaonekana malaika, pamoja na fedha chafu anazomwaga kwa wananchi na ambazo hazijulikana kazipataje, hiki ni kiashiria tosha kwamba kweli CCM wameishiwa viongozi....kuna ombwe kubwa sana la viongozi ndani ya CCM!!!!
 
.....hata kama hapo ulipo ni mpiga kazi na huna mvuto kwa wapiga kura,usitegemee kupata mafasi ya kupeperusha bendera ya chama chako,kwani utawapotezea malengo yao,labda tu iwe ni chama cha kusindikiza wengine na kusubiria ruzuku kama ndio chanzo zha ajira na maisha kwa viongozi huzika...

Nyekundu

Kwa maneno mengine kwenye chama ulipo hii ni sifa muhimu kupata mgombea urais, na unakubalina nayo kwa asilimia mia moja. Ningependa nijue upo chama gani Engineer.

Bluu

Hawa ni akina nani ?

Nyeusi

Aisee...! nilikuwa sijui kama kuna vyama vimesajiliwa kwa malengo haya.
 
Always, ukweli ni mchungu, lakini inabidi usemwe.
Lowassa ni fisadi, ni kweli, lakini watanzania wengi wanamkubali, huo nao ni ukweli hata kama hatuutaki.
Katika pita pita zangu kila sehemu ninayofika hata kama ni safari za mikoani huwa najaribu kuchokoza mada za siasa ili kupata mawazo yao. Wengi wanajua kuwa jamaa ana kashfa, ila wanasema ni mchapakazi. Wengi wanasema kama Lowassaa atapitishwa kuwa mgombea bila shaka watampa kura yao. Naomba msinishambulie mimi mgeni jukwaani bandugu:lock1:


Umesema kweli mkuu, atakayekushambulia basi ana matatizo ya kijinsia tu.
 
Back
Top Bottom