tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 25,956
- 25,345
Lowasa ameukana urais kwa kudai kwamba urais ni uchuro. Akiongea na vijana waendesha bodaboda kwenye mkutano wa hadhara, mara vijana hao walianza kuimba: rais, rais, rais, rais wetu wa 2015. Lowasa aliwakataza waache kumuita hivyo kwani urais ni uchuro na kwamba kufanya hivyo watakuwa wanamchonganisha na watu. Lowasa aliwaahidi vijana hao kuwachangia fedha ili kila mmoja amiliki chombo chake cha usafiri.
Source: Lowasa mwenyewe:israel:
Source: Lowasa mwenyewe:israel: