:flypig:Nimesikia na kusoma kwenye news inasemekana mzee wa kimasai aliondoka nchini kimya kimya kwenda ugaibuni kwaajili ya matibabu ya maradhi yanayomsumbua, japokuwa haikuwekwa wazi ni nini kinachomsumbua nawaomba wadau wote tumuombee ili Mungu aweze kumponya haraka na maradhi yanayomwandama:juggle: