Hata mimi ilinisumbua. Dawa ni kuweka na kutoa loud speaker then mnasikilizana vizuri. Mimi hiyo simu ilinisumbua mara nyingi naambiwa sipatikani wakati nipo hewani. Kuna watu wengi wameexperience tatizo hilo. Toleo hili lina defects flani bila shaka. Nimeamua kurudi kwenye nokia tochi yangu ili nipatikani kwa uhakika.