π€£π€£π€£π€£ kivumbi leohii ya kulipia chumba na hakutokea, si niliambiwa eti dada alizingua dkk ya mwsho, akasema kapata dharuraaa? Au haikua hivyo?
Semaa dada aliyekua ananipa umbea, id yake last seen August 2023 sijui yuko na id ingne, ila maubuyu ya JF nilikua nayapata vyediiii.
Bado hujasema, mpaka useme.akasema kapata dharuraaa? Au haikua hivyo?
Jf ina mambo sana, mtu wanaitana shosti nyuma ya pazia anambebea baby wake
Mdomo koma
Its okay.So, tumemalizana mkuu?
No further replies ndio tunaelekea huko sasa hivi naona πNiandalie mchanga watu wapute wakiwashe π€£π€£π€£
πNo further replies ndio tunaelekea huko sasa hivi naona π
60KM aheadπ
toba toba na umeamua kukaa kimy tu na vitu vinafurukuta moyoni kwann sasa, em nidokezee kidog udugu ili nielewe abc bas za "mwanakondoo ameshinda"
πππππulikua hujuiii? Mbona tushazoeaaaa.
Babee na mdogo angu nyingiii, kumbe bwana anaenda kukutana nae na kupewa 30k.
full tafraniii.
Soon π€£π€£π€£No further replies ndio tunaelekea huko sasa hivi naona π
Naona mkuu.60KM ahead
Great, usirudie tena huo ujinga. Grow up, achana na makundi, ingia cheka uondoke zako. Hizo mnaita ubuyu mnapewa na wasiojitambua mnaishia kuwa kama wao. Sikuwa na mpango kujibizana na wewe, ila your attacks on me for almost a yr led to this.Its okay.
Na ban za hapa na pale πSoon π€£π€£π€£
Ila tumefaidi
Ila watu humu majasiri sana, unakutana na mtu humjui??? Haya ndo madhara yake sasa, lazima waje kudharirika km hivi!!
Kuna wanawake wanafanya tuonekane so cheap
Yani sate inakudhalilisha?? Pesa ndogo kabisaa ambayo unaweza kuipata bila kudhalilisha utu wako arrrggggg
Mods kwanza wanasoma wakichoka wanafunga uzi π€£π€£π€£Na ban za hapa na pale π