Loving you Mahondaw

Yaaaan mm nlikua nishakaa standby kutangaza matutaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ DK ya 120 tu nashangaa naona Mpira unaeleza ndanπŸ˜€πŸ˜€....
Sema hawa wenyewe kila hatua Wanafika kimungumungu tuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Yani wamepita kimazabe mazabe sana dah!
Ngoja tuone kama watatoboa kufika fainaloli
 
Kivumbi leo
 
Analia lia eti sio kweli. Wakati siku ile kidogo aokote makopo.
hii ya kulipia chumba na hakutokea, si niliambiwa eti dada alizingua dkk ya mwsho, akasema kapata dharuraaa? Au haikua hivyo?

Semaa dada aliyekua ananipa umbea, id yake last seen August 2023 sijui yuko na id ingne, ila maubuyu ya JF nilikua nayapata vyediiii.
 
Watu wanafki sana Tena hao wanaojifanya eti mi mtoto wa yesu nataka kujenga kanisa sijui nn nn yaani mi nachekaga TU watajijua ila hiyo mbabu apunguze ujuaji TU 🫀
Ndiomana huwa nacheka sana humu nikiandikaga kuwa Jf unaa mwingi watu hawanielewagiiii kabisa!

Sasa kuna sie tunaojifanya hatukomenti kabisa humu alooo tukute nyuma ya pazia sasa πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…