Swali hili hapaβοΈWe Cheka TU watu wanajiona watakatifu na kujifanya ku judge maisha ya watu yakiletwa Yao jukwaani wanaanza kupanic .
Huyo Mzee na Saint Anne wanakojoleana sana tu kuanzia kipindi Cha corona 2020 to date basi TU acha nitulie
Huyo Saint Anne anawadanganya watu kila siku ni mama mtumishi ila ,,,,,,,, haya bana
Inatosha Kwa Leo
Kaa kwa kutulia tupate ubuyu π€£π€£π€£π€£nipo najiuliza hapa ni huy anie wa mwanakondoo ameshinda au kuna mwingine[emoji38][emoji38] woi hata sielewi ni nni kwanza[emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuuuuh, wee hebu nambie kilichojiri hapaaa?Nilikwambia achana na kirikou hukunisikia umeona?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wanafki sana Tena hao wanaojifanya eti mi mtoto wa yesu nataka kujenga kanisa sijui nn nn yaani mi nachekaga TU watajijua ila hiyo mbabu apunguze ujuaji TU π«€Yeeesuuuu na mariaaa !!!
Kweli si kila asemae bwana bwana nyieeee!
Cha usiku kitamu πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaa hapaa, haya fungukeniii yoteee.
Sisi wengine ni watazamaji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiii mie sitakiwi kupitwa na chochote hapa JF. hebu tumbua majipuu baba, nasema tumbuaaaaaaaaaYani umeshuka kifuani tu hata hujaoga unakuja hapa. Kunywa maji kwanza mrembo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mniambie imekuajeee, afu nazuiliwa kwenda post za juu, aaaaah
Mi ndo naziona kwa feni tedoka na ww unaniuliza mimi?? Au ni mi nimeandika?? π€£π€£π€£Amesema "huyo mzee" akimaanisha mimi?
Kama ni mimi mwambie siijui hata sura ya huyo mtoto, hata sura achilia mbali mengine.
Lakini, hivi hizi hadithi huwa mnaambiwa na kina nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kwa story zinazo endelea, mie nilishakua nazo toka mda, kidogoo hainistuiiii sana.Cha usiku kitamu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ntakuchapa π€£π€£π€£π€£na mmi natumia app kama wew tu udug kuna mda nazuiliwa naambiwa nikafungulie kweny browsr sa mi naona shida sijaizoea na sijui kuitumia,, ko sijajua story imeanzia wapi ila mrs kantr kaandika kweny notebook " kabeesaaaaaa"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] in mke ya tajiri voice[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaa hapaa, haya fungukeniii yoteee.
Sisi wengine ni watazamaji.
ππππ weee na umetulia nazo udugu??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kwa story zinazo endelea, mie nilishakua nazo toka mda, kidogoo hainistuiiii sana.
Behave yourself.Kwa hiyo umenipotezea? I thought you geared up for me tonight. Nilikujibu ili uongee yote sasa kama umenipotezea basi nyamaza milele, sawa? Short of that I'll consider you as a femboy. I really don't want you to be categorised as a femboy.
Kaa kwa kutulia tupate ubuyu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una swali lingine? Nimesema nadhani upo smart pamoja na ninavyokusoma hapa...Mi ndo naziona kwa feni tedoka na ww unaniuliza mimi?? Au ni mi nimeandika?? π€£π€£π€£
Naona wanataja wanakondoo hata sielewi π€£π€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuuuuh, wee hebu nambie kilichojiri hapaaa?
Huenda pdf lote ninalo tokaa mdaaa, nithibitisheee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe story zenyewee za kitambooo na mie nazijuaaa, kuhusu kweli au si kweli wanajua wenyewe, ila habarii ninazooo mda tyuuh.na mmi natumia app kama wew tu udug kuna mda nazuiliwa naambiwa nikafungulie kweny browsr sa mi naona shida sijaizoea na sijui kuitumia,, ko sijajua story imeanzia wapi ila mrs kantr kaandika kweny notebook " kabeesaaaaaa"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] in mke ya tajiri voice[emoji28]