Nyie kucheka inaruhusiwa????🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭🤭🤭🤭!🤣🤣🤣 Mzee mwenyewe anawakojolea kinyonyo pamoja na Saint Anne anakuja kuongea mavi mavi hapa
Yaan sijui kwann nikiwa sipo JF bas kunafurikaaa manjegekaa humu woiiiiih
Yaaaan mm nlikua nishakaa standby kutangaza matuta😀😀😀 DK ya 120 tu nashangaa naona Mpira unaeleza ndan😀😀....Yanii huko waliko sipati picha wanavosherehekea dah ushindi wa kishindo sana wakianza naule waliowatoa Senegal nahii ya leo kucheza pungufu na kushinda dakika ya mwisho kabisa!
Kesho tunaanza siku upya mama, kama lipo jambo unahisi lita add value kwenye mambo yako uliza, nitakujibu accordingly.Kesho ntakuuliza 😂😂😂
Aliyekwambia uchelewe nani??
Hakiiiiiiika tuwaachie wenyeweTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana... Mambo yao waachie wenyewe...
😂😂😂😂 Makubwaaaaa🤣🤣🤣 Mzee mwenyewe anawakojolea kinyonyo pamoja na Saint Anne anakuja kuongea mavi mavi hapa
Atakuwa yy ndo mchawi kalaba wake 🤣🤣🤣🤣nahis kirikuu alikua hajalalando kamchelewesha
Aliyekwambia uchelewe nani??
Nilikwambia achana na kirikou hukunisikia umeona?? 🤣🤣🤣🤣na majukumu mengi kwa sasa, wee nisamataizie bhana khaaah
Kwa hiyo umenipotezea? I thought you geared up for me tonight. Nilikujibu ili uongee yote sasa kama umenipotezea basi nyamaza milele, sawa? Short of that I'll consider you as a femboy. I really don't want you to be categorised as a femboy.Aiseee kwa hiyo kuamua kukupotezea kwako ushindi sio?.
Wewe ndie ulipaswa kujiuliza saikolojia ya huyo mtu uliemtaka iko sawa? We si ulijifanya Mshauri kumbe unasuburi december uvunje ukimya.
Wenye akili walinyamaza toka siku ile.
Kuna sehemu nimeona kuna watu umewakojolea ni kweli.???Kesho tunaanza siku upya mama, kama lipo jambo unahisi lita add value kwenye mambo yako uliza, nitakujibu accordingly.
ulienda wapi tena!!, au ulikua kwa kirikuu wako unam bembeleza alale kwanza
nahis kirikuu alikua hajalalando kamchelewesha
Makubwaaaaa
Yani umeshuka kifuani tu hata hujaoga unakuja hapa. Kunywa maji kwanza mrembonisamataizie bhana
Wataje hao watu usizunguke, sema nilimkojolea A, B na C ni kweli?Kuna sehemu nimeona kuna watu umewakojolea ni kweli.???
Yeeesuuuu na mariaaa !!!We Cheka TU watu wanajiona watakatifu na kujifanya ku judge maisha ya watu yakiletwa Yao jukwaani wanaanza kupanic .
Huyo Mzee na Saint Anne wanakojoleana sana tu kuanzia kipindi Cha corona 2020 to date basi TU acha nitulie
Huyo Saint Anne anawadanganya watu kila siku ni mama mtumishi ila ,,,,,,,, haya bana
Inatosha Kwa Leo
We Cheka TU watu wanajiona watakatifu na kujifanya ku judge maisha ya watu yakiletwa Yao jukwaani wanaanza kupanic .
Huyo Mzee na Saint Anne wanakojoleana sana tu kuanzia kipindi Cha corona 2020 to date basi TU acha nitulie
Huyo Saint Anne anawadanganya watu kila siku ni mama mtumishi ila ,,,,,,,, haya bana
Inatosha Kwa Leo