Ngoja nikaku tag nimecheka mpk walitaka kunipiga faini ππππKani tag tafadhari.
Wee sema kweliNgoja nikaku tag nimecheka mpk walitaka kunipiga faini
ππππ we jina zuri hilo??hivi unajua mnanichekeshaa sana? Ko kila mkikaaa issue ni hiyo ya yeye kuitwa sele? Woiiiiiih
Mbona mambo yao nishaawaachia wenyewe eti.
Kantry anacheka hiyo sele mpk machozi, na wakati hana tabia ya kucheka. Yy ukimuambia kitu anatabasamu tyuu!! Ila hii mpk nimemshangaa ππππππWee sema kweli
Subiri ukaone nakutag ss hivi πππWee sema kweli
Kabeeeeeesa rafiki. Tatizo binadamu ni wabishi sanaaaa!Nilichoelewa na wengi mmeshindwa kumuelewa antonnia ni je kufanya hivi kosa lipo wapi?
Wakiamua kuachana wameamua wao, wakiamua kurudiana wameamua wao sisi hatupaswi kuhoji sana wala kufatilia sana, ni wao wameamua. Kwa kifupi ni maamuzi yao ambayo sisi hayatuhusu kabisa. Ndio maana anasema mambo yao tuwaachie wenyewe
we jina zuri hilo??
Kantry mwenzio muda wote anacheka hilo jina la sele
Kantry anacheka hiyo sele mpk machozi, na wakati hana tabia ya kucheka. Yy ukimuambia kitu anatabasamu tyuu!! Ila hii mpk nimemshangaa
Weee kipi kingine iko?? ππππsasa bora mie niliyemuita Sele, je ningerudia akicho kisema yule mdada aliye mgomea kushuka kwenye gari?
Udugu ulipitwa na mengii,, mweeeeh
Madako yako πππππ
"Wee selemanii wee eeeh seleeee"
Nimecheka km mwehu πππππNshaonaa ni noumaaa
Mahondaw , when I met you... There was peace unknown... I set out to get you...
I was soft inside... There was something going on...
Mahondaw you did something to me... That I can't explain... I will hold you closer to make you feel no pain...
Tender love is blind... It requires a dedication... All this love we feel... Needs no conversation...
We ride it together... Making love with each other... That is what we are... No one in between...
How can we be wrong... stay with me... And we rely on each other...
If the love was gone... Everything is nothing...
And we got no doubt... Too deep in love and we got no way out... And the message is clear...
This could be the year for the real thing... No more will you cry... We start and end as one...
View attachment 2892128
Hainaga makombo.
Sio kweliMimi sinaga tatizo huku akuu.
Vipaji ni muhimu vikaendelezwa lakiniππ
Ww dogo ni snitch, naamiini hakuna sehemu antonnia amekukosea.hivi unajua mnanichekeshaa sana? Ko kila mkikaaa issue ni hiyo ya yeye kuitwa sele? Woiiiiiih
Mbona mambo yao nishaawaachia wenyewe eti.
Huyu dogo kaamua kufurahisha watu kwa muda mfupi na kuharibu urafiki wa muda mrefuKantry anacheka hiyo sele mpk machozi, na wakati hana tabia ya kucheka. Yy ukimuambia kitu anatabasamu tyuu!! Ila hii mpk nimemshangaa ππππππ
What if kilichosemwa sio kweli?sasa bora mie niliyemuita Sele, je ningerudia akicho kisema yule mdada aliye mgomea kushuka kwenye gari?
Udugu ulipitwa na mengii,, mweeeeh