Kumbe kuandika bila emoji unaweza udugu 🤣🤣🤣🤣Sikia shouzzz ngoja nikate unafiki hapa, wee ile siku nimemchamba na kumchambua huyo smart kuhusu tabia yake ya kupakazia uongo, tena nilimuita kwa kumtag mwenyewe, ulisemaje?
Ikiwa mie mpinzani kwako, si ungenikatazaaa siku ile ile? Zimepita njegeka ngapiii hadi leo nionekane mpinzani wako? Kupatana kwenu mie sio shida, shida ilikuja kwa huyo smart kuambia watu kuwa walio ktk upande wako walipoteza nguvu na muda buree kukupigania ikiwa wee na yeye mnajuana, yes alikua sahihi yeye anakujua kuliko mie.
Mie nilikulalamikia wewe, na nilihoji kwa kusema ambavyo wake wenzio walisema, ubaya wangu uko wapi? Kwann ulijua wee na yeye mnajuana na mtapatana baadae, si ungeni cancel tangu mwanzo? Wengi wameanza kujua bifu lako na Depal, kumbe kuna wengine wawili nyumaaa, uliwaambia? Wanajua hilo?
Sikia shouzz nakuheshimu na nitakuheshimu daima, sina ubaya na wee na sioni haja ya kuwa hivyo. Nilikulalamikia kwa kuwa nilikupambania wee binafsi, nasikia leo mie ni mpinzani wako.
Hayaa bhana. Sina neno mie.
Unajitahidi mwaya hujakoseaNdo nasema km hivii yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova.Mpira ushanichosha nasinzia hukuu[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42] !
Kila mmoja na maisha yake wapendwa tushasema hakuna kupangiana!
Ova
Nawa jua baadhi ya watu Humu, hats off to them.Ukitaka uishi kwa amani humu akikisha hakuna mtu umewahi kumpa nafasi ya kukujua hata kwa bahati mbaya vinginevyo,Ila pia kuna story za kutunga hata kama mtu hakujui wala kukufahamu🤨
Punguza k vant 😂Pdf?? Mshushe hata Cdf 🤣🤣🤣
Mi sinaga kona kona alafu jeshi la mtu mmoja siombi silaha nchi jirani, niko fuuulllllll mpk najiogopaaaaa.!!!! 😂😂😂😂
Yani fuuuuuuulllllll kikosi kipo attention kwa mashambulizi you know?? 😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yess hakuna kupangiana, relaaaaxxx na enjoy Love.Mpira ushanichosha nasinzia hukuu[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42] !
Kila mmoja na maisha yake wapendwa tushasema hakuna kupangiana!
Ova
😂😂😂😂😂 SipunguziPunguza k vant 😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] emu niwache kwan mfyuuuuhKumbe kuandika bila emoji unaweza udugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana.!! Kwani nani alikusema upo upande wa wapinzani.??? Mna vyama humu??? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli.Yani fuuuuuuulllllll kikosi kipo attention kwa mashambulizi you know?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Unajitahidi mwaya hujakosea
Imetosha kwa leo😂😂😂😂😂 Sipunguzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Coca anaandikaga kifupi tu
😂😂😂😂Imetosha kwa leo
😂😂😂😂 Sema nini au basi…..!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] emu niwache kwan mfyuuuuh
Semaa uduguuu, usibaki na kitu kiku kerekete hebu tapikaa bhana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sema nini au basi…..!!!
Mwanasheria wangu anaumwa flu kali 🤣🤣🤣🤣Semaa uduguuu, usibaki na kitu kiku kerekete hebu tapikaa bhana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona unanipa ugwadu wa kujua nn kinajiri, hebu nipe samare kwanii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio siku yake ila huu ujinga wa mtu kutumia id nyingi kufanya watu wapumbavu ipo siku…!!!
Mi jeshi la mtu mmoja siogopi na ugomvi wangu unaamriwa na mods tyuu..!!
Anayejifanya chizi kutaka kunichokonoa atanuna valentine itakuwa mbaya kwake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mfyuuuuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanasheria wangu anaumwa flu kali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]