Love

Love

ERIK

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2013
Posts
623
Reaction score
315
Mimi ni Mvulana mwenye miaka 28, Naishi dar! Natafuta msichana aliye serious tuweze kuwa katika mahusiano ya kimapenzi nihitaji kuanza kujenga Familia naye! nimekaa mpweke kwa muda wa zaidi miez 9 sasa nikijaribu kuwasoma na kuelewa wanawake!

kama unadhani na nitadhibitisha kuwa wewe ni wife material tutaingia katika ndoa!

Naomba aliye serious ani PM ,

Naomba awe mrefu, asiwe mnene saaana!! hata kama kuna mtu atasoma hapa na ataweza kunisaidia kupata nimshukuru na kumzawadia kama rafiki au ndugu aliyetoa msaada katika maisha yangu!!

NASHUKURU KWA USHIRIKIANO UTAKAO ONEKANA!
 
Ivi uvulana na usichana unaishia miaka mingapi jamani,? kuna haja ya kupeana somo hapa jukwaani ati.
 
Mvulana miaka 28, naishi dar! Natafuta msichana aliye serious tuweze kuwa katika mahusiano ya kimapenzi nihitaji kuanza kujenga Familia naye! nimekaa mpweke kwa muda wa zaidi miez 9 sasa nikijaribu kuwasoma na kuelewa wanawake!

wish you al the best .
 
yuko usalama wa taifa. Ndio maana mnaliwa na vivulana visivyo na mwelekeo na kuachwa huku vikiwadanganya kuwa vina kazi nzuri.

asante kwa kumsaidia kujibu mkuu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom