AD naomba udadafue... nipo sooo interested...
Ngoja niamke vizuri
ntafanya hivyo...
Yes We Can........
Yes We Can........
good girl gone bad
Mimi very patient person... nitarudi ku check feedbak...
we we we we ..
Hivi malaika mlinzi ndo
nimeajiriwa tena au la...
Mwehhh weee...
Hivi ukiwa sema na
boyfriend au mume...
Je ni nini kinacho kuzuia
usimpende mtu mwingine??
au kama ilivyo ulizwa hapo juu ( fall in love)??
AD, Tunapendaga saana, tusidanganyane! Ila inakuwaga ni temporary LOveHivi ukiwa sema na
boyfriend au mume...
Je ni nini kinacho kuzuia
usimpende mtu mwingine??
au kama ilivyo ulizwa hapo juu ( fall in love)??
AD sielewe kwa wengine ni ile tu the way najijua
when in... i am all in... yaani huyo ndo utawala
akili yangu, mipango yangu, fikra zangu, na
mara nyingi nikijaribu hata tu thubutu mpima
na wengine, naona hakuna kabisa!! Hua kabisa
najisikia raaaaha kupitiliza...
I can not imagine feeling that for two pple... naweza kufa... Dah!