Love

AD sielewe kwa wengine ni ile tu the way najijua
when in... i am all in... yaani huyo ndo utawala
akili yangu, mipango yangu, fikra zangu, na
mara nyingi nikijaribu hata tu thubutu mpima
na wengine, naona hakuna kabisa!! Hua kabisa
najisikia raaaaha kupitiliza...

I can not imagine feeling that for two pple... naweza kufa... Dah!

hahahahah lol
haya bana ....

nimependa ulivyoelezea..

lakini nadhani tunafahamu LOVE ni feelings
na si kitu .... na unaweza ku feel something
kwa watu wawili tofauti....
kuna wengine wanaweza ku control hizo feelings
kuna wengine wanaweza kuzi kataa hizo feelings
kuna wengine huweza kuzificha na
kuna wengine wanapenda kuzi express hizo feelings..

Binafsi naona unaweza ku fall in love with more than one person
lakini yategemea ni jinsi gani utai control hizo feelings...

......................


you can't choose who you love
but you can choose what you do about it
....
AD..
 
hahahahah lol
haya bana ....

nimependa ulivyoelezea..

lakini nadhani tunafahamu LOVE ni feelings
na si kitu .... na unaweza ku feel something
kwa watu wawili tofauti....
kuna wengine wanaweza ku control hizo feelings
kuna wengine wanaweza kuzi kataa hizo feelings
kuna wengine hawezi kuzificha na
kuna wengine wanapenda kuzi express hizo feelings..

Binafsi naona unaweza ku fall in love with more than one person
lakini yategemea ni jinsi gani utai control hizo feelings...

......................


you can't choose who you love
but you can choose what you do about it
....
AD..

Uko mkweli saana dada yangu, na hii kitu hatuja zoea sisi
 
hahahahah lol
haya bana ....

nimependa ulivyoelezea..

lakini nadhani tunafahamu LOVE ni feelings
na si kitu .... na unaweza ku feel something
kwa watu wawili tofauti....
kuna wengine wanaweza ku control hizo feelings
kuna wengine wanaweza kuzi kataa hizo feelings
kuna wengine hawezi kuzificha na
kuna wengine wanapenda kuzi express hizo feelings..

Binafsi naona unaweza ku fall in love with more than one person
lakini yategemea ni jinsi gani utai control hizo feelings...

......................


you can't choose who you love
but you can choose what you do about it
....
AD..


Respect to you....... Dah! Nimekukubali aaiisee....
 
Uko mkweli saana dada yangu, na hii kitu hatuja zoea sisi

I'm not say is socially acceptable but it's possible.
our cultures demand that in this situation we should make a choice
and stick to it ...
 
unajua kuna some advice huwa tunazipata from men only....
Sasa wew umempa hapo....
Ni kama dada katoa advice ambayo alipaswa kutoa kaka....
Go bang them both,then you will know lol


I think nimeli koroga....lol
 
Back
Top Bottom