CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,254
- 12,872
BADILI TABIA umeua et fivusamu hahahahahahahaaab
Last edited by a moderator:
sweetie punguza basi fitina hazijengi
Sasa tutathibitishaje kama Babu Asprin ni 'kifaa'
Au mnamchuna tu?
Au kuna siri mnamfichia?
Maana mjini hapa BT.
Fungukeni wake zake.
Sasa tutathibitishaje kama Babu Asprin ni 'kifaa'
Au mnamchuna tu?
Au kuna siri mnamfichia?
Maana mjini hapa BT.
Fungukeni wake zake.
Hheheheeeee nimekustukia bibi....
Tumefundwa sieeeee
hatutoi siri za chumbani....
Kuna watu humu wako macho juu juu kutaka kumuiba hubby wetu.... Wanatamani ndoa yetu na Asprin ivunjike.....
Walaaaah sikutajii ujuzi wa mume, nimeshtuka, abiria chunga mzigo wako loh...
Heri yangu mimi sijasema.
Hheheheeeee nimekustukia bibi....
Tumefundwa sieeeee
hatutoi siri za chumbani....
Kuna watu humu wako macho juu juu kutaka kumuiba hubby wetu.... Wanatamani ndoa yetu na Asprin ivunjike.....
Walaaaah sikutajii ujuzi wa mume, nimeshtuka, abiria chunga mzigo wako loh...
BADILI TABIA umeua et fivusamu hahahahahahahaaab
kupenda kubaya jamani,sasa we Ummy kama unampenda aspro si useme tu? Umezunguka weeeeee,just say it loud n clear .....'mimi Ummy binti Abdalah,kwa hiyari yangu mwenyewe nimekupenda Asprin,naomba wake zako wote uwaache unioe mie.....hakika utafurahi,mtoto wa pwani mie,mambo nayajua...'
Duuuuuh! Ametisha!
ha ha ha, BADILI TABIA, ukiona hivyo ujue anatamani kugongwa mhuri au anatamani kuvaa jezi ya Chelsea.
Si aombe usajili tu!!?
Mtoa mada, sema vizuri nakusikiliza, naweza kukufikiria msimu wa dirisha dogo.
Ukiona wake wenza wanapatana hivyo ujue mume wao ni joka la kibisa na kati yao hakuna anayemuonea wivu mwenzie kwa kuwa wanajua hamna cha kufaidi zaidi ya matatizo, kile kibabu nlishasema hamna kitu mle,wanakilia tu vijihela vyake,Cacico shahidi
Leo utasema kila kitu......yaani mpaka umeamua kujilipua sio bure!ki ukweli mie napenda sana swaga zake lakini mambo ya malovee no kwani tayari nimeshashumbiwa af ni kama ana mfumo dume kwa hawa dada.
msaidie mawazo aipuke hii pembe tatu itamletea madhara baadae af huenda na watoto wakawa kama yeye
nasikia anataka kuongeza mwingine!