Vip beb ni nzuri nipite nayo au?[emoji2210][emoji2210]
Hence shown, mwanamke hana dini.NAMBA SABA:
Leon alikua ni mtu wa IT , he was working as an IT manager kwa kampuni yao binafsi palepale SA, anaijua computer kama amezaliwa nayo, kwaio kale kasimu kangu kalikua ni kama katoy kwake, dakika kumi na tano zilimtosha kuset program zake na kujua kila kinachoendelea kwa simu yangu kuanzia calls, text messages , email na watsaap , wakati mi nimelala mwenzangu alijipa kibarua chenye manufaa kwa upande wake.
Maisha yalisonga, mawasiliano kati yangu na Karim yalizidi kupamba moto pia , huku mahusiano yangu na Leon yakizidi kudorora sana. Kwa ule mwaka mmoja nilirudi Tanzania mara mbili kwa visingizio vya hapa na pale, ila kubwa ilikua kuonana na Karim...mapenzi hayafichiki jamani, my mom alishtukia kinachoendelea kati yangu na Karim na kumbuka mama hana analolifahamu kuhusu Leon kwaio hakua na pingamizi mimi kutoka na Karim, alichoshauri kama mzazi ni kua kama tunapendana tuhalalishe maana kilichokua kinafanyika ni dhambi ya uzinzi. Nanzaje kumwambia mama kua binti ake kipenzi nimeangukia kwa mchumba wa mtu, naanzaje jamani.
Sijui niseme ni bahati mbaya au ni bahati njema , hata sielewi mtanisaidia wasomaji...nilipata ujauzito wa Karimu, ukimpenda mtu jamani hata huwazi yajayo kama yatafurahisha ama lah. I knew about my calendar na nilijua kua zilikua siku za hatari, nadhani kilichotokea nilikitarajia pia maana nilijua ipo siku Karim hatokua on my side walau niwe na kitu cha ukumbusho wake, nilijua jinsi iyo kitu itawafedhehesha nyumbani lakini kwa wakati huo nilikua naongozwa na hisia zaidi ya ufahamu wa kawaida. Naweza sema nilijitegesha ili nipate ujauzito, Karim asingekubali kuniingilia unprotected kama angejua kua nipo kwa danger days, yaap...I won and after some weeks nilianza jihisi tofauti, hiko ni kipindi nilikua namkwepa Leon kama ukoma aiseee, sikutaka kuchanganya tarehe kabisa, I wanted to be sure of whose baby that is.
Leon alizidisha malalamiko, kunifata kazini hakukuisha ila sikutaka kumsikia, I just told him I need some time alone, na hakuwahi nionesha kama anajua lolote kuhusu Karim, he just acted normal. Leon asked of how much time I need, nikamwambia nitamtafuta nikiwa okey...aniache kwanza, yaap...he stepped down, ila alikua akinicheck kwa simu karibia kila siku kujua naendeleaje na kama nahitaji chochote na kunisisitiza kua ananipenda, hadi hapo hakuna mtu anajua kua niko na ujauzito even mr. hacker ( Leon) maana sikujadili na yeyote kuhusu hali yangu ya ujauzito hata Karim hakua akifahamu.
Sababu ya ujauzito sikumudu kusafiri tena, nikamuomba Karimu aje SA nimemmiss na pia nahitaji kujadili nae jambo, sikutaka ajue hali yangu akiwa airport kwaio nikavaa koti kuubwa, nilihitaji kumfanyia surprise and it somehow worked. Tukafika kwa hotel, niliona si vyema kumpeleka kwangu kwa kumuhofia Leon, ingawa tulikua tumepeana break ya mda ila niliona sio poa, Leon amekua akifika pale kwangu mara nyingi isiyo na idadi kwa hiyo sikutaka kumuaibisha hivyo kwa majirani.
We were at our hotel room alone, nikaingia bafuni kuoga, Karim alitaka kunifata nikamwambia No...I need some moment ,kwaio akaniacha nitangulie, nikaoga nikavaa a bathrobe mbele iko na tukamba tu, nikatoka kwa bafu nikamkuta yule mwanaume anajiandaa kuja kuoga....nikasimama nikiwa nimeshikilia mlango wa bafuni kwa woga nikatoa ile nguo na kuiachia ishuke chini, kitumbo kangu kikaonekana, nikamuona Karim Kama amepigwa na butwaa hivi, akaniuliza Bella, naona sawa au? Are you pregnant...I was just standing there namuangalia, akanisogelea akanikumbatia akaninyanyua juu akaniambia thank you Bella...thank you.
Kifuatacho si mnakifahamu jamani daaah...mambo ya skudu makudubella yale...mtoto anahitaji vidole vitano jamani, so we made sure anatoka akiwa kamili...I was happy maana nilijua atakasirika ila alifurahi sana, akaniuliza vipi kuhusu nyumbani, nikamwambia sijawaambia bado ila nitawaeleza, akaniuliza umelelewa katika ukristo Bella wangu, utakubali kubadili dini nikuoe, sitaki mwanangu alelewe na mwanaume mwingine, I said yes...hata angenambia nibadili kabila kwa yule mwanaume I was ready walahi.
Hii chai ni tamu sana!SEHEMU YA KUMI NA MOJA:
Nilikua kama nimepagawa, Leon angekua makini angenote kitu, sikua na utulivu, nikiri tu kumuona Karim pale ilinichanganya sana. Nikamwambia Leon najisikia vibaya, naona kama tumbo langu haliko poa, naomba niende washroom , Leon akaomba kunisindikiza nikamwambia haina haja, nitajimudu...lengo ni kukakaa peke angu nikae sawa, wenge linitoke, maana daaah...Karim ananiwezea balaa.
Ile nagusa tu mlango wa toilet, Karim akaniwahi akaufungua tukaingia wote, akanisukumia kwa toilet moja akafunga mlango, ilikua ghafla Kama chafya, yaani Ile ilikua ni zaidi ya grenade walahi, hujakaa sawa hili hapa. Nikajitahidi kufurukuta pale, Karim niacheee, akanikumbatia kwa nyuma ,nilikua nimevaa gauni fupi tu, alilipandisha juu , nilijikuta namsaidia kuivua nguo ya ndani, kilichofuata ni doggie moja matata sana, ile mechi ilikua ya ghafla, zaidi ya kupaka mate hakukua na maandalizi wala maelezo ya ziada, ila ilikua the best moment ever, sex in hopeless places walahi...kwaio Karim kanikula tena jamani, daaah ...
Majuto yanakujaga baadae eeeh, Karim akanitajia room namba akavaa akasepa , akaniacha mle toilet...nilijikumbatia nikalia tuuu, why sina msimamo, after everything Karim kanifanyia daaah, and afert all the love and support Leon gave me, is this how I repay him...nilijichukia mwenyewe, najua mtaniona wa kiwaki ila mwenzenu nilikamatika.
Nikajiweka sawa nikatoka hadi nilipowaacha Leon na familia yangu, I was weak and full of shame, yaani nilikua naona hata aibu kumuangalia Leon usoni, Leon akauliza kama niko poa, nikamwambia sio sana, narudi kulala...nikawaacha wanaendelea na dessert, I went straight kwa room yetu, kwani usingizi ilikuja sasa....kilichotokea washroom dakika chache zilizopita kilikua kinarudi kama fillamu...kuna namna nilikua naumia kumsaliti Leon kwa mara nyingine na kuna mda nilikua naona niko sawa tuuu, kama kuna nafsi mbili zinakinzana hivi.
Kabla ya kulala nilijitahidi sana Leon alewe, nilikua nakunywa nae lakini nilikunywa kwa machale, I had my mission . Ule ugonjwa wa kumpenda karim ulikua umerudi tena umerudi kwa kasi sana, nisingeweza kulala hotel moja na karimu halafu eti hata busu nisipate, sio kweli. Shetani alikua upande wangu naweza sema, Leon was drunk, alilewa akawa anaongea tu pumba, nikamkokota hadi kwa kitandani, Kama mshale nikalock mlango nikaenda kwa Karim.
Sikutaka mambo mengi, I missed that man hadi nikawa naumwa, Halima nisamehe tu mama, mwanaume wako anajua mapenzi hadi sio vizuri,nisamehe tu mama...Lilipigwa gwaride pale la kufa mtu, nilipinduliwa Ile kisawasawa, Karim alikua ana show za mandonga mtu kazi, yaani show show, kudeka kwenu, anajua amshike wapi mwanamke na amfanyie nini kumchakaza. Kuna dhambi unazifanya unajutia ila dhambi ya kuzini na yule mwanaume sikuwahi kujuta walahi. After a game ndio akaanza kunipa michapo, yule mwanaume ananijulia ,alijua ili nimsikilize anikaze kisawasawa anitoe kwanza wenge, then aanze porojo zake, kwa hapo aliniweza sio Siri.
Karim alinambia mwanamke wake alikua anamfatilia ana aligundua kua tulikua tunawasiliana hata baada ya kufunga nae ndoa, hiyo hali ikawa inampa stress na kumpelekea kuwekwa bed rest, amani ndani hakuna, mke anaumwa, mimba iko hatarini, akaona asije akakosa vyote, akaona akae kimya kwanza aniweke pembeni, akaomba radhi na kuahidi kua bado ananipenda na kama nitampa nafasi anataka Lisa amfahamu, alinambia Halima hakua na yeyote zaidi yake so he had to be there for her. Ndugu enu nikajaa bwana, kwanza hata sikua nataka maelezo mengi, yaani Ile kumuona tu hasira yote iliyeyuka kama barafu, alieimba mapenzi upofu atatafutwe niko na zawadi yake.
Tuondoke Sasaa Mamii!!Yaaap....iyo nyingine ni [emoji91] inaitwa Godfather [emoji2957]
no wonder mliongea na nyoka na shetani.......SEHEMU YA KUMI NA MBILI:
Ratiba ilikua tukae siku tatu turudi dar, nani kasema wewe, naondokaje nimuache Karim porini, aaa wapi...Leon hapindui kwangu, nammudu kuliko anavyojimudu, nikamwambia tu nimependa hali ya hewa ya Serengeti, it's a therapy after everything we have been through as a family, kwaio kama hutojalia, let's stay longer...tukaongeza siku zikawa nane, maana Karim alikua kule kwa wiki mbili na hio ndio wiki yao ya mwisho, hakuna siku ilipita hatujakulana na karim, yaani tulitafuta tu mda hata kama dkk ishirini ilimradi mechi ipigwe, dada alinisaidia sana kunifanyia back up kwa Leon .Siku nane zilikatika kama maji, sikua na kisingizio kingine ilibidi tuondoke kurudi dar, hapo ndipo nilipoona ni jinsi gani nilikurupuka kukubali engagement ya Leon, nawaambiaje ndugu zangu wanielewa, yaani naanzaje.
Safari ya SA iliwadia, tulipanga na Karim tukutane hotel kabla sijaondoka, nikampanga Leon akaingia kwenye rada, chap kwa haraka nikajiweka kwa hotel...ile farewell match daaah, as if ni dabi ya kariakoo, huku Kibu denis ,huku Azizi Ki...ilikua ni zaidi ya battle, hadi half time inafika hakuna mshindi, yaani kila mtu alimpania mwenzie kisawasawa, akanambia mama utaniua...Ilibidi tupange maamuzi magumu pale, akaniuliza Bella unanipenda, nikamwambia unauliza nini baba....majibu unayo Karim...
Karim akaniambia amechoka na hayo maisha ya kujibana, ananihitaji...Ile for real ameona jinsi ananihitaji, akanambia kama nitamudu nirudi Tanzania atafanya namna kuhusu kunitafutia ajira au hata nifanye biashara , hataki tuishi SA tena....kitu ambacho Karim hakua akifahamu ni kwamba nilikua na pesa tena za kutosha, hata kama ningeamua kukaa nyumbani maisha yangu yote yaliyobaki nilikua naishi tena maisha ya maana tuuu, nilikua na shares kwa kampuni kama tatu pale SA, nilikua na shares hapa nyumbani kwa baadhi ya kampuni, nilikua mmiliki wa kampuni yangu binafsi ya nywele za kinadada, nilikua namiliki kampuni na Leon ya mawasiliano, nilikua nina duka kubwa la Vito vya thamani pale SA...kwahiyo kazi ilikua ni kitu napenda na sio kwa ajili ya kumudu maisha, yaani kazi na Karim, nilichagua Karim bila kupepesa macho, mtihani uliobaki ni kuhusu Leon, namuagaje?
Leon kwa maisha yangu ukiondoa mapenzi,tulikua partners kwa biashara, alikua kichwa sana kwenye biashara yule kaka, kwaio sio mtu ambae ninaweza mwambia it's over na tusionane, tutaonanana tu, kama sio ana kwa ana basi hata kwenye simu lazma tutaongea.
Nikamwambia ukweli Karim kuhusu Leon, akasema hawezi kunilaumu, he left me no choice, na anatamani aonane na Leon aongee nae kiume, nikamwambia acha niende kwanza, nikafanye mipango ya kuhama pamoja na kuweka sawa kuhusu biashara zangu kisha nitarudi Tanzania, nikiwa huku rasmi ndio nitawakutanisha na Leon, kwa sasa sidhani kama ni wakati sahihi maana ni wiki iliyopita tu nimetoka kumtambulisha nyumbani kama mchumba wangu na pete kanivalisha, he won't take it...so let's wait for the right time.