Hapana mkuu, hapa ngoja nifnye mishe zangu tu.. sina hamu na jinsia hii.. "ME"
nakwambia hutojutia kijana
pole kwa kuachwa. kawaida ingawa inauma, ila umekosea kitu moja tu - kwamba utafanya mambo flani mpaka ajute kwa nini alikuacha. Hapo utajiumiza saaana yani. Msamehe, mtupe nyuma yako, endelea mbele. haya mambo ya kujitutumua kwa ajili ya flani yashawahi kupeleka watu pabaya. Aliyekuacha kuna uwezekano mkubwa kuwa huko aliko anapumua vizuri, kula na kulala kwa raha zake wakati we unalalama humu. Fanya yako kwa faida yako.
Daah pole sana
Adui wa mwanaume ni mwanaume mwenzio..
Nakupa pole mkuu. Umezidiwa
Only god knows how much you hurt me, i dont know why but its ok because you were not interested with me although you seemed happy when u're with me. Now am gone, am out of ur life with alot of pains in my heart, i gave my life to u, loved, and respect you coz i wanted 2 be with you for my eternity.. Breaking up with u doesnt mean i wont achieve my dreams, i will for sure and one day i'll prove it 2 u! I will show you how much u made first class mistake for staying away from me!
Bbygal u should not believe words without seeing, i know they talked rough about me so as 2 separate us and u believed that words without asking me if it is true or not, but you took it as an advantage of leaving me.. I lov u very much but am about 2 give up, am so disapointed
pole kwa kuachwa. kawaida ingawa inauma, ila umekosea kitu moja tu - kwamba utafanya mambo flani mpaka ajute kwa nini alikuacha. Hapo utajiumiza saaana yani. Msamehe, mtupe nyuma yako, endelea mbele. haya mambo ya kujitutumua kwa ajili ya flani yashawahi kupeleka watu pabaya. Aliyekuacha kuna uwezekano mkubwa kuwa huko aliko anapumua vizuri, kula na kulala kwa raha zake wakati we unalalama humu. Fanya yako kwa faida yako.
Jifariji na hii kitu
Hem' acha ujuha wewe...unalialia ovyo kisa mwanamke kakuacha?? Hilo hapo ni dua la kuku..wala halimpati mtu...!Breaking up with u doesnt mean i wont achieve my dreams, i will for sure and one day i'll prove it 2 u! I will show you how much u made first class mistake for staying away from me!