love is so unfair

love is so unfair

Hem' acha ujuha wewe...unalialia ovyo kisa mwanamke kakuacha?? Hilo hapo ni dua la kuku..wala halimpati mtu...!

Eeh mapenzi yanauma kuliko jinoo...ndo maana hujawahi kusikia MTU kajinyonga kisa anaumwa jino...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom