Love is Blind

This is not true. Love is not blind. It has two good eyes but what happens when you love someone ni kuwa unakuwa tayari kuchukuliana na udhaifu wake. Sio kwamba udhaifu hauuoni; bali unauona lakini unaamua kuchukuliana na mtu uliyempenda. Ndo maana upendo wa mweli ndo msingi imara wa ndoa maana kila mtu anayo mapungufu. Lakini ukimpenda mtu kwa dhati utakuwa tayari kuchukuliana na mapungufu yake
 
LoVe iS bLiNd AnD iT'LL tAkE oVeR yOuR miNd,
WhAt YoU tHiNk iS LoVe iS tRuLy NoT, YoU nEeD tO eLeVaTe AnD FiNd
This is not true. Love is not blind. It has two good eyes but what happens when you love someone ni kuwa unakuwa tayari kuchukuliana na udhaifu wake. Sio kwamba udhaifu hauuoni; bali unauona lakini unaamua kuchukuliana na mtu uliyempenda. Ndo maana upendo wa mweli ndo msingi imara wa ndoa maana kila mtu anayo mapungufu. Lakini ukimpenda mtu kwa dhati utakuwa tayari kuchukuliana na mapungufu yake
 
Love is blind marriage is an institution for blinds where by a man loses his bachelor degree and a women gets her masters degree

Love is a process and not a destination
 
Mke wa jirani yangu kaenda kulala kwenye kampeni, lakini mi nilikutana naye bar fulani saa tano kasoro usiku akiwa amelewa na kukumbatiana kimahaba na jamaa mmoja mwenye shati la kijani.
Sijui mwenye mali angemkuta maeneo yale hali ingekuwaje
 
and because love is blind and we cant make rational decision then we should be ready to divorce. Ni suala la kuoa au kuolewa kwanza. ukigundua ile blindness yako ilikupeleka pabaya, divorce haraka sana. dont accept suffering in the name of mariage
 
niliona kamsemo haka sehemu fulani "love is blind but marriage is an eye opener" ,so , kama unahisi tayari ushakuwa blind wewe tangaza ndoa tu ,upofu utapona na utaona kuliko microscope
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom