Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,919
- 14,800
- Thread starter
- #21
mmmmh i doubt!nyingine zinauwa kabisa
Basi nenda kawaone wazee wakusaidie!
mmmmh i doubt!nyingine zinauwa kabisa
umeona DUDE la LOVE hapo?nishakuja mupenz
nani huyo anaonyesha ndala boss?
tuko hapa kudiscuss Upendo wa Kweli - LOVE is a beautiful thing , ndala zatoka wap tenaa? au umechanganya habari
hahahahahaha pole kwa kuumizwa best!
pole sana
Pole kuumwaMoney Penny sijakukimbia, nitakucheki whatsapp hapa nko hospital
DohSijachanganya habari ila nimechanganywa na huyo mdada anayejishushia hadhi yake kwa kuonesha hayo madala. Sijui kanyonyesha wangapi tu au kawa soropoa!!
Unahitaji msaada wa kisaikolojiaWanawake niwatu wabaya sana, Ili uishi nao moyo lazima uuvishe bullete proof.
Akija napiga rungu tu. Lakini mapenzi NOOOOOOOO
Sasa kama izo something else ulishazifanya unafanyaje?!Love is a waste of time and energy. Do something else, do not waste your precious time loving people
Sent using Jamii Forums mobile app
HayaNimesemaje tena Money P. Samahani ka nimekosea
Naaam Money Penny usemacho ni kweli kabisa mapenzi yanakuwa mazuri sana mkiwa mnaelewana na kusikilizana kinyume chake ni majanga
AmenNaaam Money Penny usemacho ni kweli kabisa mapenzi yanakuwa mazuri sana mkiwa mnaelewana na kusikilizana kinyume chake ni majanga
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂mmmmh i doubt!
Basi nenda kawaone wazee wakusaidie!