Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Looo mie kwishnehi
vipi unaweka jina moja tu ama una include na Sir name cz majibu yake yanakuja tofauti mnooo
<br />
<br />
ya kizushi, mi ninavyompenda nanilii nimecalculate imekuja sifuri.
komaa wewe demu huwa hakubali kirahisiYa kizush,demu nimempga sound kakataa afu inanletea 93%.
mie natumia jina lambert au lumbert. nikiweka lu majibu tofauti na nikiweka la. so, ni badili jina??? maana kigoli wangu simwachi....anajua kunisuuza
<br />Imeniletea 85% na kwa mpenzi wangu kwa kwanza na mwengine imekuja 95%.
<br /><br /><br />
<br /><br />
kwani unao wangap?
.<font size="3"><span style="font-family: trebuchet ms">Nime calculate na haya ndio majibu niliyopata...
na Shantel=41%
Husninyo=42
<font color="#ff0000">Ashadii=86%</font>
Bebii=75
Sweetlady=43%
This is very funny!
</span></font>
Hazole tayari usha halalisha yule dada wa bar?? au ndo yupo mwingine speacial??
.
Hapo ulipo weka font nyekundu panaweza kukusababishia u kibogoyo.
Maana mi tayari nshaanza madrasa kwa ajili ya mtoto Asha dii
teh teh teh...Ashadii ....duh. aisee nimejaribu kuweka majina tofauti nashangaa. wa bar kagonga 55%% jamani. nikaweka ashadii nikagonga 90%% lazima nikupm
.
Hapo ulipo weka font nyekundu panaweza kukusababishia u kibogoyo.
Maana mi tayari nshaanza madrasa kwa ajili ya mtoto Asha dii
aaaah! inatisha watu.... afadhali sisi tuokuwa ndani ya ndoa .... washikaji msivuje uchumba sababu ya hii kalkuleta ni funny thing
Sio siri eti 21% aaaah hapana