kipusatembo
Member
- Jun 19, 2014
- 88
- 29
Hivi bandugu hii kitu inaexist kweli ama mimi nmejichanganya tu umpweke unanpeleka puta??!!
Maana kama sielewi hivi........
Basi kwa yule mwenye eksipiriensi anijuze mimi hapa kama ni kweli inawezekana ukamuona mutu siku ya kwanza na siku hiyo hiyo ukafolu in lavu.......?!!
kama unahamu ya kunshushua ama kunijoboa kaa mbali na post yangu soma tu afu teleza kimya kimya........
Maana kama sielewi hivi........
Basi kwa yule mwenye eksipiriensi anijuze mimi hapa kama ni kweli inawezekana ukamuona mutu siku ya kwanza na siku hiyo hiyo ukafolu in lavu.......?!!
kama unahamu ya kunshushua ama kunijoboa kaa mbali na post yangu soma tu afu teleza kimya kimya........