Daah we jamaaa mchawiii kichiziii yaan.Mtaachana tuuu narudia tena mtaachana tuu
It's all about time
Jirani kwani we hiyo hali haikutokeagi??..He hee jirani umepinda wewe
Kauli yako imenisikitisha..Uchochezi huu
wanAtupanga hawaJf kila mtu yuko dar
Ugonjwa wa akili.Jirani kwani we hiyo hali haikutokeagi??..
Mi hata humu kuna watu sijawahi hata kuwaona Ila nimekufa nimeoza juu yao..Hii sijui tunaiitaje kitaalam..lol
Tiba yake nn??Ugonjwa wa akili.
Wewe hautibiki.Tiba yake nn??
Hey guys
Imeshawahi kutokea ile hali umemuona mtu mara moja tu ukatamani awe wako?
Imenikuta stendi ya mabus mkoa fulani kuja Dar. Siku nafika pale nikamuona mkaka mmoja amazing,sijui kwanini alikuwa ananiangalia vizuri namna ile...kimoyo moyo nikaweka sala fupi "ee Mungu huyu kaka hata nisipokaa nae seat moja naomba nisafiri nae bus moja tu" halafu nikamalizia na Amen,nikaingia kwenye bus
Nimefika kwenye bus nikakaa nikiendelea kusali sala ile ile ya Mungu asaidie yule kaka kuwepo ndani ya bus nililopo,nikajisemea ngoja nitoke ndani ya bus nijifanye naenda washroom ili nimuone hata mara nyingine,nikatoka nikaenda washroom
Mungu ni mkuu jamani, nilivyotoka washroom nikaingia ndani ya bus nikamuona yule kaka ndani ya lile bus, mimi namba 9 yeye 10
Sikuwahi kuona safari fupi kama ile japo kiuhalisia ni safari ndefu mnoooo, masaa yalikimbia fasta kinyama huku tukiwa tumezoeana kama vile tulikuwa tunafahamiana kabla.
Hiyo ni mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo,tumekamilisha mwaka with my man 😊😊 Japo haiwahusu wala haiwasaidii kitu lakini nawaambia tu...nampenda huyu mwanaume
Naona kila kitu changu kinampenda,macho yakimuona napata ile amani ambayo siipati kwa yoyote,mwili wangu umemkubali mana nina hisia kali sana juu yake,nikiisikia sauti yake napata ile hamasa ya kuendelea kumsikiliza akiongea hata kama haongei na mimi
Sijawahi kuwa mdau ya ngono lakini tangu nikutane naye nataka kila muda tuwe peke yetu chumbani
Cheers to many years with my man 🥂
Am so in love!
Makalio yako..Wewe hautibiki.
Makalio yako..
Nimeyamiss lakini..
Yangu ndio.