Love at first sight

So haya mambo yapo Sana na tukisema tushuhudie shuhuda ni nyingi..
 
Zinakuwaga nyege wala sio mapenzi 😹😹
Mkishanjunjana na gubu linaanza, mara pap mnapigana chini..!!

Kuna mkaka nilipanda naye bus alikuwa ananitolea macho nikajua kanielewa kumbe anafikiria jinsi ya kuachia shuzi..!! Bus lilikuwa na AC lakini tulifungua madirisha 🀣
 
Hii mbona kali sana
 
Alijikausha au ilikuaje maana kusababisha gari ifunguliwe madirishaa huo ushuzi ni wa SGR 😊 😊 πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜‚
 
Seat namba 9 na namba 10 nayo ulipata shida hivyo ya kumtafuta!! πŸ˜€
Kila la Heri kwenu
 
Ipo hivyo,ila nimefurahi kwamba ukimuona tu simi linachezacheza
 
Jamaa ajengewe sanamu lakee 😊😊😊
 
Iliwahi tokea,

Nikiwa 4m 3 likizo ya June, bas siku npo tuit class, akaingia mkaka, ile kumuona tyuu, moyo ukafanya "paah" nikiri wazi moyo wangu ukitopea kwake, nkamtazama had alipoenda kukaa, ticha anafundisha mie namkodolea jicho yule mkaka..

Baadae alistuka, maan nlkua namtazama haswaa, hata sikuwa naogopa, nae akawa ananitazama km vile anajistukia, mie nkamkonyeza jicho, mkaka akageukia upande mwingine, pindi lilipoisha, tumetoka nje nimekaa zangu nasoma notes, mara paap jamaa huyu hapa, kaanza kunihoji mbna nlikua namtazama vile, na had kumkonyeza, nilibaki naduwaa, nkamuomba samahani, tukapiga story kdg tukaachana..

Toka pale nikawa namuogopa, na ile kumkwepa, nlikua najistukia mwenyewe, kumbe jamaa alijua, after 3days, tupo kwa pindi la Chem, ticha akatoa test, na akasema top 10 watapewa zawadi, siku ya 2 baada ya tokeo, mie nikawa no 7, yeye hata hakuwepo, baada ya kutoka ktk pindi, nimekaa niko buzzy mara akani join, akanipongeza, tulipiga story kwa uzuri, kwa kifupi mapenzi yalianzia hapo, kiukweli nili enjoy mnoo, sijawahi juta kumfahamu, but kuna time ilifika tuliachana. 😒😒
 
Form 3 nilikua nawaza sikukuu nitavaa au wazee watakausha au nilikua kajingajinga sikuelewa maswala ya mapenz
 
Hii nzurii Sanaa 😊 😊
 
Congrats sister.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…