Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
mh haya ngoja nisome vitabu zaidi humu sielewi bado
Cousin you just nailed
Cousin you just nailed
asante MJI unakumbuka kule nilikuuliza ivi kuna mapenzi au ni usanii tu unaendelea naamini nitapata majibu ya yale nayofikria naomba kuuliza umegusia kuhusu kuficha yale uliyofanya nyuma kabla hamjakutana ili kulinda penzi lenu vipi kuhusu yale watu wanafanya nyuma ya pazia huku wakificha wapenzi wao?
really really? i mean really really really??chauro darling....I think I might be too liberal and inaniocost................. nadhani ninajidanganya mie but huwa ninajifunza kumtrust mtu 100 percent.... as long as hanipi reasons to doubt. Ninamwamini kupindukia unless afanye kile kitakachonifanya nishtuke.... I used to tell the love of my life kuwa ukila na mie kipofu wako usiniguse mkono.............. but I still believe if there is a thingy ambayo uliifanya enzi zile do not tell.. au tell in aprticl way so that you do not tell all......but still some people are for telling
really really? i mean really really really??
Dah... hebu nambie basi truth na honesty ntazitofautishaje mazee?
Miss, I must confess, I admire your topics. They are thought provoking and debate stimulating. Way to go.
Back to the topic at hand, by nature human beings are not honest (and here I'm talking about absolute honesty).
So it is naïve for anyone to think that their partners are or will be 100% truthfull to them. There is no such thing.
If I may ask, have you ever lied about anything (big or small, significant or insignificant) in any of your relationships? And when was the last you lied about anything?
love and truth?? mhh... let see
do you mean truth au honesty?
:A S new:
MJ1
Hujajibu swali langu, lakini yote kheri
Binafsi naamini truth ni opposite ya lies.. and whatever happened int eh past is history so if one tell me or ask me about the past i may chose what to say, and whatever i say will be the true history, hapo ina maana niko true
Now coming back to another one, honest, honest ni hapo unapotakiwa either ku-validate yaliyopo au yaliyopita... na hapo ndio balaa, sometimes wengi hulinda penzi kwa kusema ambacho hakitamuumiza mwenza... is that lying or cheating? i dont know
what if I emply my closet and share all my past? will i be true to you?? will that also mean i love more than the one keeping a few skeletons in teh closet?
this thread is really something:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
whatw ere you thinking MJ1?
hapo sasa we ACID jibu maswali maana hii topic naona imenigusa sana huwa napata shida kwakweli ndo maana siku izi naona kama mapenzi mchezo wa kuigiza vile
will that also mean i love more than the one keeping a few skeletons in teh closet?
Chauro and Acid........I dont thin if telling all means you love more than the one who doesnt .......... s/he might love you more to the extend that s/he doesnt want to hurt you.
Mjukuu ni kweli some people will refer lile kosa mtu analokuwa ametenda pindi wanapogombana lakini je hiding the truth from your loved one is it worth it?
sorry to say this most men use this kutufanya tujikie guilt na kuhalalisha makosa yao
What if I start judging your present deeds with the confessions you made??.
Uongo ndiyo huleta penzi na ndiyo hulinda penzi. just make sure mwenza wako hataujua uongo huo kupitia other sources.......
Chauro..................have you ever heard something like sweet lie? that does not hurt??mh hapa ndo huwa napata shida uongo nao una mwisho wake kama ulivo ubaya penzi linanogeshwa na uongo??????HOW!halafu ukija kujua linaingia shubiri sasa kipi bora kuambiwa halafu ukubali au kutoambiwa halafu siku unajua unaishia kwenye magonjwa yetu ya moyo na vidonda vya tumbo hembu tuweni wakweli
Dears I hope all of us are ready to party for the coming sikukuus. Tunamwomba MUNGU atujalie tufike salama maana duh......ni rehema zake tu tutazisherehekea.
Kuna kitu kimekuwa kikinitatiza siku nyingi ambacho nimekuwa sikielewi...... the relationship between LOVE and TRUTH. Nilikuwa naamini kuwa unapompenda mwenzi wako si lazima kuwa utakuwa truthfull kwake kwa kila kitu. Kuna vitu ambavyo utajikuta unalazimika kuvificha au kusema ndivyo sivyo ili tu kulilinda penzi lenu- especially vile ambavyo ulivifanya zamani kabla hamjakutana.
Lakini kwa wengi nimejikuta hawaamini katika hilo so naomba wanajamvi mnisaidie.
Natanguliza shukrani zangu
na maanisha wanaume wengi hupenda kutumia yale tuliyowaeleza inaweza kuwa ya familia yako au jambo lolote kuhusu maisha yako pale mnapogombana au kukumkuta na kosa