Lotion kwa Uso wenye mafuta mengi

Credere Potest

JF-Expert Member
Feb 26, 2016
217
298
Wakuu habari ya mda huu! Naombeni msaada wenu kwa yeyote anayefahamu Lotion ipi nzuri uso wenye mafuta mengi na Sehemu yenye baridi? Maana nimekuja mkoa wenye baridi sana sasa wakati nipo Dar nilikuwa situmii mafuta ya aina yoyote usoni sababu uso wenyewe nikitembea juani mafuta hatari sasa huku nilipo sababu ya baridi nisipopaka kitu usoni uso unakuwa kama unajikunyata hivi.....nisaidieni kwa hilo! Natanguliza shukrani zangu
 
Wakuu habari ya mda huu! Naombeni msaada wenu kwa yeyote anayefahamu Lotion ipi nzuri uso wenye mafuta mengi na Sehemu yenye baridi? Maana nimekuja mkoa wenye baridi sana sasa wakati nipo Dar nilikuwa situmii mafuta ya aina yoyote usoni sababu uso wenyewe nikitembea juani mafuta hatari sasa huku nilipo sababu ya baridi nisipopaka kitu usoni uso unakuwa kama unajikunyata hivi.....nisaidieni kwa hilo! Natanguliza shukrani zangu
28678ac105afdfa1beea84e4ba95b070.jpg

de4f2115095bcb264b2afae0f8e67fbe.jpg


Karibu hizi set zinasaidia kuondoa mafuta usoni.. Ukihitaji wasiliana nami kwa simu namba 0672416294
 
Wakuu habari ya mda huu! Naombeni msaada wenu kwa yeyote anayefahamu Lotion ipi nzuri uso wenye mafuta mengi na Sehemu yenye baridi? Maana nimekuja mkoa wenye baridi sana sasa wakati nipo Dar nilikuwa situmii mafuta ya aina yoyote usoni sababu uso wenyewe nikitembea juani mafuta hatari sasa huku nilipo sababu ya baridi nisipopaka kitu usoni uso unakuwa kama unajikunyata hivi.....nisaidieni kwa hilo! Natanguliza shukrani zangu
Tafuta Mafuta ya black seed oil. Hutajuta.
 
Wakuu habari ya mda huu! Naombeni msaada wenu kwa yeyote anayefahamu Lotion ipi nzuri uso wenye mafuta mengi na Sehemu yenye baridi? Maana nimekuja mkoa wenye baridi sana sasa wakati nipo Dar nilikuwa situmii mafuta ya aina yoyote usoni sababu uso wenyewe nikitembea juani mafuta hatari sasa huku nilipo sababu ya baridi nisipopaka kitu usoni uso unakuwa kama unajikunyata hivi.....nisaidieni kwa hilo! Natanguliza shukrani zangu
wewe ni ke au me
 
Back
Top Bottom