Looking for soul mate

Looking for soul mate

timetoloveyourself

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2015
Posts
206
Reaction score
206
Ni mwanamke mwenye umri wa 30+,natafuta soul mate wa umri kuanzia km wangu, awe mtu anaejitambua na mwenye kiu ya kusonga mbele kiushauri na all positive aspects of life, awe tayari kunichukulia kwa changamoto km nitakavyokuwa kwake, kwasababu huwa naambiwa mimi ni mdada mkaka eti ni mtata ingawa ni mpole sana.
Karibuni, pm ruksa kwa mawasiliano ya simu.
 
Uko mkoa gani mdada mkaka, picha tafadhari
 
Ni mwanamke mwenye umri wa 30+,natafuta soul mate wa umri kuanzia km wangu, awe mtu anaejitambua na mwenye kiu ya kusonga mbele kiushauri na all positive aspects of life, awe tayari kunichukulia kwa changamoto km nitakavyokuwa kwake, kwasababu huwa naambiwa mimi ni mdada mkaka eti ni mtata ingawa ni mpole sana.
Karibuni, pm ruksa kwa mawasiliano ya simu.

Kwa vile tu niko nje ya range ya umri unaoutaka, ww ulikuwa mtu ambaye ningependa kupambana na maisha tukiwa pomoja!
 
Kweli mnakoma nyakati hizi ujana wenu mchezeee alafu eti unatafuta wa kushare naye uzeee! Unalo mtafute uliyekula naye ujana....!
 
Mdada mkaka???. Inamaana unafanana na kitu gani, weka PCs plz.
 
Ni mwanamke mwenye umri wa 30+,natafuta soul mate wa umri kuanzia km wangu, awe mtu anaejitambua na mwenye kiu ya kusonga mbele kiushauri na all positive aspects of life, awe tayari kunichukulia kwa changamoto km nitakavyokuwa kwake, kwasababu huwa naambiwa mimi ni mdada mkaka eti ni mtata ingawa ni mpole sana.
Karibuni, pm ruksa kwa mawasiliano ya simu.
Ndio maana hatutaacha kugombana kwani watoto umewaacha na nani, ukute unataka nikapike mie wewe uko bize unatafuta bwana mpya huku!Kwa nini usibadilike tu tuishi vzr!?:lol:
 
Mdada mkaka inna d house!

Mbali na umri wako na hiyo sifa ya utata una sifa gani zingine za muhimu. Tumia fursa hii kujinadi maana wenye uhitaji wapo wengi humu.
 
hivi miaka 30 ni uzee mkuu au sijaelewa vizuri

Ana 30+ mwanamke healthly atakiwi kuzaa above 35 sasa km mini nataka watoto saba ataweza nizalia? Kwa tafsiri ya haraka 30 kwa mwanamke ni bibi huyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom