miamiatz
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 504
- 927
Hello guys.
Moja ya rafiki zangu anajihusisha na ukandarasi. Yeye ni mtaalam wa miaka mingi kwenye field na huwa anapata kazi za miradi mbalimbali.
Sasa anataka kusajili kampuni yake na amekwama upande wa kuwa na registered engineer.
Hivyo kama kuna engineer aliesajiliwa mwenye ndoto ya kuwa director kwenye kampuni ya wazawa tuwasiliane.
Asante.
EDIT
Miradi anayofanya ni barabara, madaraja and the like. Tukumbuke hii sio nafasi ya ajira bali ni fursa ya umiliki wa pamoja wa kampuni mpya. Suala la mtaji ni juu yake yeye sio wewe.
Moja ya rafiki zangu anajihusisha na ukandarasi. Yeye ni mtaalam wa miaka mingi kwenye field na huwa anapata kazi za miradi mbalimbali.
Sasa anataka kusajili kampuni yake na amekwama upande wa kuwa na registered engineer.
Hivyo kama kuna engineer aliesajiliwa mwenye ndoto ya kuwa director kwenye kampuni ya wazawa tuwasiliane.
Asante.
EDIT
Miradi anayofanya ni barabara, madaraja and the like. Tukumbuke hii sio nafasi ya ajira bali ni fursa ya umiliki wa pamoja wa kampuni mpya. Suala la mtaji ni juu yake yeye sio wewe.